Messi kafikisha magoli 301 Laliga, hii ndio video ya sehemu ya magoli yake bora …
Usiku wa February 17 klabu ya FC Barcelona ya Hispania ilishuka kucheza mechi yake ya Ligi Kuu Hispania dhidi ya Sporting Gijon na kuibuka na ushindi wa goli 3-1, kwa upande…
VIDEO: Mke wa Rais Magufuli alivyoagwa na shule ya msingi aliyokua akiifundisha Dsm
Mke wa Rais John Pombe Magufuli Janeth Magufuli February 17 2016 alirudi katika shule aliyofundisha kwa miaka 15 kabla ya JPM hajawa Rais wa Tanzania, camera ya AyoTV ilifanikiwa kuyanasa matukio…
Pichaz 19 za Waziri Mkuu alivyozungumza na viongozi wa vyama vya michezo na kukagua uwanja wa Taifa
February 17 waziri mkuu wa Tanzania wa Serikali ya awamu ya tano Mh Kassim Majaliwa aliamua kukutana na viongozi na wadau mbalimbali wa michezo Tanzania, katika ukumbi wa mikutano uliopo…
Star kutokea Nigeria ‘Tekno’ na mpango wa kufanya video ya wimbo wake mpya Tanzania…(+Audio)
Utaipokea kiasi gani ukisikia kuna star kutokea Nigeria anakuja kufanya video ya wimbo wake mpya Tanzania!!, kwenye headline ni mkali wa hits single ya ‘Duro’ Tekno amethibitisha mpango wake ni…
VIDEO: Marehemu John Woka alivyoagwa leo Dar, Feb 17 2016
Leo Feb 17 2016 Watanzania mbalimbali waliungana pamoja na baadhi ya mastaa kwa lengo la kuuaga mwili wa marehemu John Woka katika Hospitali ya Muhimbili, Dar kisha kuusafirisha kwenda kwao…
Wema Sepetu kathibitisha ujauzito wake kuharibika… kaandika haya maneno 73
Hii ni post aliyoiandika Mwigizaji Wema Sepetu saa kadhaa baada ya Baba Watoto mshindi wa Big Brother Africa Idris Sultan kuthibitisha kwamba ujauzito huo wa mapacha umeharibika. Ni kweli, na…
Picha 13 Kutoka Muhimbili Dar, Raia walivyojitokeza kwenye msiba wa John Woka leo Feb 17 2016
Tayari ripota wa millardayo.com ameyakusanya matukio yote makubwa kutokea Muhimbili Dar, time hii wananchi wakiuaga mwili wa Marehemu John Woka kwaajili ya kwenda kanisani kwa sala kisha kuelekea nyumbani Tanga…
Picha 15: Mke wa Rais Magufuli alivyoaga shule aliyoifundisha kabla JPM hajawa Rais
Feb 17 2016, Mke wa Rais John Pombe Magufuli Janeth Magufuli alifunga safari na kuelekea katika shule ya msingi Mbuyuni, Osterbay Dar es salaam, ni shule ambayo Mama Magufuli alisoma…
Kutoka kwenye eneo la chanzo cha kifo cha msanii John Woka
John Woka ni miongoni mwa Wasanii wa longtime Tanzania ambapo umaarufu wa jina lake uliongezeka kutokana na ubunifu wake wa kurap kama Mlevi, kwenye hii video hapa chini kuna maelezo…
Barua aliyoiandika Mtanzania Jackline Cliff kutoka gerezani China
Jackline Cliff ni Mtanzania ambaye alikamatwa kwenye uwanja wa ndege na kufungwa gerezani huko Macao China kwa kosa la kujaribu kuingiza dawa za kulevya miaka miwili iliyopita, sasa leo kamuandikia…