Ukweli wa taarifa za Mzee Yusuf kuoa mke wa tatu uko hapa
Mzee Yusuf ni staa kutoka kwenye muziki wa Taarab Tanzania, moja ya stori zilizomfanya aongelewe zaidi ndani ya hizi wiki ni habari zake zilizosambaa kwamba ana mpango wa kuongeza mke…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo January 29 2016 kwenye Udaku, Hardnews na michezo
January 29 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu…
VIDEO: Juma Duni Haji anauonaje utendaji wa Rais Magufuli?
Juma Duni Haji alikuwa mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA mwaka 2015, hapa anafunguka kuhusu namna anavyouona utendaji kazi wa Rais Magufuli na mengine usiyoyajua. https://www.youtube.com/watch?v=KkMAm3NbIRk&hd=1 Unataka kutumiwa…
VIDEO: C.U.F yagomea marudio ya uchaguzi mkuu Zanzibar
Jan 28 2016 Chama Cha Wananchi (CUF) kilitangaza rasmi kutoshiriki uchaguzi wa marudio uliotangazwa na Baraza la Uchaguzi Zanzibar kufanyika Machi 20 2016, hapa nimekusgezea video yenye full stori. https://www.youtube.com/watch?v=_axelva-0A8 Unataka…
VIDEO: Raia wabishi wa Marekani wanavyowatesa Polisi kwa kuendesha magari spidi livelive
Vihoja vipo hata Tanzania ila sababu hatuna rekodi ya kurekodi matukio yote kwenye video ila nchi kama Marekani ni kawaida, sasa tazama hii video hapa chini uone jinsi jamaa wanavyoharibu…
Wakati wowote kuanzia hivi sasa Chelsea watatangaza kukamilisha usajili wa staa huyu …
January 28 klabu ya soka ya Chelsea ya Uingereza imerudi tena kwenye headlines, safari ni ule muendelezo wa stori zao za usajili, Chelsea ambayo imeingia kwenye headlines za usajili mara…
Kilichonifikia kutoka Monduli Arusha kuhusu ajali ya moto shuleni…
January 28 2016 inakuwa siku nyingine inayobeba vichwa vya habari kuhusu ajali, hatujasahau kuhusu kuzama kivuko cha Kilombero Morogoro, inanifikia nyingine kuhusu kuteketea kwa majengo ya Shule ya Sekondari iliyopo…
Rais Magufuli amefanya mabadiliko Benki Kuu ya Tanzania leo Jan 28 2016
Rais John Pombe Magufuli leo amefanya mabadiliko ya uteuzi na kumtea Julian Banzi Raphael kuwa Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania akichukua nafasi ya Juma Reli ambaye muda wake…
‘CUF’ wametoa maamuzi yao kuhusu kinachoendelea Zanzibar
Siku chache zimepita tangu Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Zanzibar Jecha Salim Jecha atangaze kuwa Machi 20, 2016 kuwa siku ya marudio ya uchaguzi Zanzibar. Haya ni maamuzi ya CUF…
Mrembo Jokate kwenye U Heard ya Soudy Brown, comments za instagram kaziona..? (+Audio)
Mrembo Jokate leo ndio aliyesikika kwenye U Heard ya Soudy Brown. Soudy anasema Jokate alipost video akijiachia kucheza mdundo wa remix ya 'Zigo' ya AY Feat. Diamond Platnumz alafu zikafatia comments mbaya.…