VIDEO MPYA: Mzee Majuto na comedy zake kashirikishwa na kwenye wimbo.. unaitwa ‘baba’
Kama mazoea yako yapo tu kwenye kutazama vichekesho vyake kupitia maigizo au movie, inabidi ujue kwamba Mzee Majuto kashirikishwa na kwenye wimbo, hii ndio mara yangu ya kwanza kuona kashirikishwa…
Hii ndio list ya waliomuwezesha Mbwana Samatta kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa Afrika …
Najua headlines kwa sasa ni stori za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Aly Samatta kutwaa tuzo ya…
Ushindi ni wa Mtanzania Mbwana Samatta Tuzo za mabingwa wa soka Afrika
Usiku wa kuamkia January 08 2016 najua kuna Watanzania ambao macho na masikio yao yalielekezwa Nigeria ambako zilikuwa zinatolewa Tuzo za wakali wa soka Afrika. Good news ni kwamba staa…
Mabilioni ya elimu bure ya Rais Magufuli, Mwanza zimepokelewa hizi…
Good news ni kwamba yale mabilioni ya elimu bure ya rais Magufuli tayari yameshawafikia watu wangu wa Mwanza….Kazi inabaki kwako mtu wangu kuhakikisha mwanao nae anayatumia kwa ufasaha ili ajikwamue…
Hiki ndio kikosi cha Yanga kilichoichapa Mtibwa Sugar katika dimba la Amaan, Cheki matokeo …
Mchezo wa mwisho wa Kundi B katika michuano ya Kombe la Mapinduzi umepigwa usiku huu katika dimba la Amaan visiwani Zanzibar, huu ni mchezo ambao umezikutanisha timu za Mtibwa Sugar…
Rais Magufuli, Mkapa na Jaji Warioba wamekutana Ikulu na haya ndio waliyoyajadili.. (+Pichaz)
Rais John Pombe Magufuli leo Januari 7, 2016 amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Mh. Benjamin William Mkapa na Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde…
Hivi ndivyo wajelajela walivyowakatia Azam FC tiketi za boti kurudi Dar Es Salaam (+Pichaz)
Michuano ya Kombe la Mapinduzi January 7 imeendelea kwa mchezo wa tano wa Kundi B kupigwa wakati mwingine ukitarajiwa kupigwa usiku wa January 7. Mchezo wa tano wa kundi B…
Haya ni maamuzi ya kocha mkuu wa Timu ya Taifa ya wanawake ‘Twiga Stars’
Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Wanawake ya mpira wa miguu 'Twiga Stars' Rogasian Kaijage amejiuzulu nafasi hiyo kuanzia leo baada ya kuomba kwa uongozi wa Shirikisho la Mpira…
G Nako amepoteza mil.6 kwenye kikao cha wasanii !! Ishu yenyewe ilikuwa hivi.. (+Audio)
Kwenye U Heard January 7 2016 Soudy Brown ana stori ya kusikitisha kidogo leo !! G Nako mkali wa chorus kutoka crew ya Weusi kwa bahati mbaya kapoteza pesa ambayo…
Picha 11 za kushuhudia mzigo wa mvua za El Nino ulivyofunga barabara Marekani..
Kama ulidhani mabalaa ya mafuriko huwa yanatokea Dar es Salaam pekeake au Tanzania pekeake, naomba nikwambie kwamba hilo lifute kichwani kwako !! Hata Marekani mzigo ukianguka wa kutosha, headlines za…