Ni kweli mwandishi kavujisha mshindi wa tuzo ya Ballon d’Or 2015, hili ndio jibu la FIFA …
Michael Abbink ni moja kati ya waandishi wa habari mahiri ila aliingia kwenye headlines hivi karibuni kutokana na tweet aliyoweka katika account yake ya twitter kuleta maswali. Ikiwa bado siku…
Ubunifu wa picha za akina Beyonce, Rihanna, Nick Minaj kwenye vazi la kiafrika…
Nimekusogezea picha za ubunifu zilizochorwa na msanii mmoja toka Ghana ambazo wameonekana mastaa wa wanawake wa Marekani... hapa ni zamu ya kuwaona akina Beyonce, Rihanna, Nick Minaj na mwigizaji Megan Good wakiwa kwenye…
Haya ndio mambo saba ya kufahamu kuhusu tuzo ya mchezaji bora Afrika zitakazofanyika leo January 7 Nigeria
Bado saa zinasogea na kila mpenda soka macho na akili yake kaelekeza Abuja Nigeria kusubiri nini kitatokea, Mbwana Samatta atafanikiwa kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa Afrika anayecheza Ligi ya…
Ya mtoto wa Karume na Dk.Shein, Operesheni ya raia wa kigeni, makusanyo TRA..#MAGAZETINI
MWANANCHI Mwanasheria wa kujitegemea nchini, Fatma Karume amemshauri Rais wa Zanzibar, Ali Mohamed Shein kuachia madaraka. “Dk Shein lazima aondoke kwa sababu kuendelea kubaki madarakani ni kuwanyang’anya Wazanzibari haki yao…
#TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye Magazeti 9 ya Tanzania January 7, 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa…
Safari za nje TZ? Nauli mwendokasi? ‘Bomoabomoa’ Dar na Moshi? Rais JPM kajifungia Ikulu, ‘majipu’? (+Audio)
Alhamisi January 07 2016 imeanza na huu uchambuzi wa stori kubwa za Magazetini, hizi ni baadhi yake na sauti niliyokurekodia. Oparesheni ya kutimua wageni wasio na vibali kuanza leo, bomoabomoa…
Gumzo ni nauli za mabasi mapya Dar, ijue tofauti ya mabasi ya Tanzania vs Brazil kwenye nauli
Kama mpango wa nauli za mabasi yaendayo haraka Dar utakua ni kulipia nauli kwa safari moja basi kutakua kuna tofauti kubwa kati ya mfumo huu wa kulipia nauli Dar na…
January 7 2016 magazeti 20 ya Tanzania yameamka na hizi leo >> udaku, hardnews na michezo
Good Morning mtu wangu !! January 07 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti 20 ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea…
Video ya goli la Simba vs URA na kosakosa za mechi yenyewe Mapinduzi Cup 2016
Kutoka kwenye michuano ya kombe la Mapinduzi mwaka 2016 naomba nikusogezee video ya goli la Simba dhidi ya URA ya Uganda, ni goli ambalo lilifungwa na Ibrahim Ajib dakika ya 37 baada…
Picha za Rais mstaafu JK alipokwenda Ikulu January 6 2016 + maelezo mafupi.
Rais mstaafu wa awamu ya nne Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete alikwenda Ikulu Dar es salaam January 6 2016 kukutana na Rais Magufuli ambapo taarifa iliyotolewa na Ikulu imesema kwenye mazungumzo…