Mabibi na Mabwana Mr Blue katuletea hii video mpya ‘Baki na Mimi’ hautajutia dakika zako..
Jina lake ni Herry Samir lakini kwenye hit songs ni jina la Mr Blue ndio lipo, sasa time hii ametusogezea video ya single yake mpya inaitwa 'Baki na mimi' na video ni…
Nahreel kasema ‘nisieleweke vibaya kuhusu haya niliyosema kuhusu Diamond’
Nahreel ni msanii wa kundi la Navy Kenzo lakini pia ni Producer ambaye mikono yake imehusika kuzisuka hits nyingi tu ikiwemo za WEUSI, Vanessa Mdee, Navy Kenzo, Shilole na hivi karibuni…
Utani wa Baba levo kuhusu matatizo ya simu za wasanii Shilole, Nay wa mitego na wengine.
Kutana na Fix za mchekeshaji na msanii Baba Levo, leo kaja na hii ya kufichua matatizo ya simu za mastaa mbalimbali wa Bongo, kazungumzia ya Lanah, Shilole, Nay wa mitego…
Radio kutoka Uganda ametuletea hii video mpya ‘ Nkwagala’ itazame hapa….
Radio kutoka Uganda amerudi tena kwenye headlines za burudani baada ya kuachia Video yake mpya inayoitwa ‘Nkwagala' iliyoongozwa na Jahlive Films. Unawea ukabonyeza play kuitazama hapa https://www.youtube.com/watch?v=QMv3d-A_Mrc Unataka kutumiwa MSG za habari zote…
Ilikupita? Mchekeshaji Kansiime wa Uganda alivyomtaja Rais Magufuli kwenye post Facebook
Kazi aliyoifanya Rais Magufuli toka ameingia madarakani kwenye hizi siku chache imegonga kwenye headlines za nchi nyingi ikiwemo Uganda ambako mchekeshaji wake Kansiime ambaye tunamtazama sana kwenye video za YouTube…
Director Justin Campos ashoot video mpya ya Kayumba wa BSS 2015..(Picha)
Ni director ambaye alishawahi kufanya kazi na baadhi ya wasanii kutoka Tanzania akiwemo, Vanessa Mdee 'No Body But Me', Shaa - Toba, Joh Makini - Don't Bother, Jux - Looking…
Chelsea wapokea kipigo cha 9 dhidi ya Leicester City, Vardy na mbaya wa Taifa Stars wapachika magoli (+Pichaz)
Ligi Kuu Uingereza imeendelea tena usiku wa December 14 kwa mchezo mmoja kupigwa katika dimba la King Power, timu zote za Ligi Kuu Uingereza zilikuwa zimecheza mechi 16 kila moja…
Kilichomfanya Waziri Mwigulu Nchemba kugeuza gari na kutokwenda ofisini kwake December 14
Mwigulu Nchemba ni waziri mpya wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi kwenye serikali ya awamu ya tano Tanzania inayoongozwa na Rais John Pombe Magufuli ambapo December 14 2015 Mwigulu alichukua headlines za…
Kuelekea michuano ya Euro 2016 Ufaransa, hizi ndio sheria mpya zilizotangazwa na UEFA …
Kuelekea michuano ya Mataifa ya Ulaya 2016 (Euro 2016) yatakayofanyika Ufaransa, Chama cha soka barani Ulaya UEFA kimetangaza sheria mpya kuelekea michuano hiyo.Sheria hizo zilizotungwa na UEFA zinahusisha mechi za…
Good News: Mr. Nice katuletea ngoma mpya inaitwa Kioo…(+Audio)
Mkali wa Miondoko ya TAKEU Lucas Mkenda a.k.a Mr. Nice aliyewahi kutamba ndani na nje ya Bongo katika kipindi cha miaka ya 2000 kwa ngoma kali kama vile Rafiki, Kikulacho…