Kanye West: “Sitaki usumbufu wala kuombwa chochote kwa sasa”… kwanini!? Majibu haya hapa!
Kanye West ni miongoni ya wasanii walioweka headlines kubwa kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter baada ya tweets zake mbili za mwisho kuweka attention kubwa kwenye social media, pamoja na…
Mama amuunguza mwanaye, matumizi ya maji kuwafikia watu mil.1, RC azuia safari…#MAGAZETINI
MTANZANIA Mkuu wa Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, Bitun Msangi, ametangaza kufuta ziara za mafunzo kwa madiwani wa halmashauri hiyo na badala yake amewataka waende kujifunza vijijini. Onyo hilo amelitoa…
Nicki Minaj awashambulia ‘haters’ wake wote kwenye Twitter… cheki alivyowagusa!
Rapper kutokea kundi la Cash Money Records, Nicki Minaj amekuwa topic kubwa kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter baada ya majibu yake kwa mtandao wa Bossip kuzua mjadala mkubwa siku…
Magazeti ya Tanzania December 14 2015 na stori zake kubwa kurasa za mwanzo na mwisho
Leo December 14 2015 nimekuwekea tena stori zote kubwa za Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu, usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook twitter na…
Top 5 stori: Mke wa Guardiola kaongea haya kuhusu Manchester, Madrid na Ozil kunani? Tumtarajie Sanchez Man City?
Kama ambavyo dirisha la dogo la usajili la Ligi Kuu soka Tanzania bara linafungwa December 15, yaani siku moja imesalia kabla ya dirisha kufungwa, barani Ulaya bado homa ya usajili…
Real Madrid wakubali kuacha point tatu katika dimba la El Madrigal dhidi ya Villarreal (+Pichaz&Video)
Baada ya December 12 watani zao wa jadi klabu ya FC Barcelona ya Hispania kucheza mchezo wake wa 15 wa Ligi Kuu Hispania dhidi ya klabu ya Deportivo La Coruna katika…
Utani wa Baba Levo kuhusu magari ya mastaa wa bongo yalivyo na matatizo…(+Audio)
Mtani na mchekeshaji Baba Levo kama kawaida yake amekuwa akitupatia fix kuhusiana na maisha ya mastaa wa Bongo, sasa leo kaja na hii ya kuzungumzia magari ya mastaa kama Rich…
Hawa ndio wachezaji wanne wa Chelsea aliyowataja Mourinho kuwa wanacheza chini ya kiwango …
Klabu ya soka ya Chelsea ambayo inashuka dimbani December 14 kucheza mchezo wake wa 16 wa Ligi Kuu Uingereza msimu wa 2015/2016 dhidi ya klabu ya Leicester City. Chelsea inaenda kucheza…
Giroud na Ramsey waipeleka Arsenal kileleni, huku wakiiombea ushindi Chelsea (+Pichaz&Video)
December 13 mechi za Ligi Kuu Uingereza ziliendelea kama kawaida, baada ya December 12 kupigwa michezo kadhaa ya muendelezo wa Ligi. Mchezo wa kwanza kupigwa Jumapili ya December 13 wa…
Kazi ya kwanza kuifanya Naibu Waziri Kigwangala baada ya kuapishwa Dec 12 (+video).
Kwenye zama hizi za Hapa kazi tu za Mheshimiwa Rais John Magufuli,tunashuhudia mambo mengi ambayo mengine tulikua hatuyafikirii kama yanawezekana kufanyika kutoka kwa viongozi wetu,Dec 12 Mawaziri na Manaibu wao…