Stori za Magazetini Tanzania November 19 2015 kwenye kurasa za mbele na za nyuma yameamka na hizi leo..
Leo November 19 2015 nimekuwekea tena stori zote kubwa za Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu, usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook twitter na…
Hiki ndicho kilichomtokea Neymar baada ya kumkabidhi refa zawadi ya jezi yake (+Video)
Kuna mengi katika mchezo wa soka tumewahi kuyashuhudia mtu wangu lakini imezoeleka katika maisha ya kawaida kwa wachezaji, mfano ni kawaida kwa wachezaji soka kubadilishana jezi baada ya mchezo na kuna…
Hii ni Top 10 ya wachezaji wabunifu zaidi katika Ligi Kuu Uingereza na adui wa Taifa Stars ndani …
November 18 nimekutana na list ya wachezaji wabunifu zaidi katika Ligi Kuu Uingereza ila Top 10 hii iliyoandikwa na mtandao wa teamtalk.com imetaja majina ya wachezaji 10 yanayotajwa kuwa na…
Kipigo cha goli 7-0 kwa Taifa Stars dhidi ya Algeria kimemvunjia rekodi hii Mkwasa …
Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars November 17 ilicheza mchezo wake wa pili wa marudiano ya kufuzu kucheza Kombe la Dunia 2018 Urusi dhidi ya Algeria Blida katika uwanja…
Simba yawatema N’daw na Sserunkuma huyu ndio mchezaji kutoka Cameroon aliyetua (+Pichaz&Audio)
Bado headlines za usajili wa dirisha dogo bado zinachukua nafasi kwa wachezaji kadhaa kuhusishwa kujiunga na vilabu fulani na wengine kutemwa na vilabu vyao kutokana na kutoridhishwa na viwango vya…
Diamond Platnumz na Patrick Ngowi kwenye list ya Waafrika 10 Mabalozi wa Tuzo za #TFAA2015
Najua ukianza kutaja list ya Tuzo ambazo mastaa wengi wamekuwa wakiingizwa kushiriki na kushindania, huenda jina la Tuzo za TFAA sio jina ambalo umelisikia mara kwa mara. The Future Awards…
Mchungaji kawalisha waumini nyoka na nguo za ndani, wanakijiji wakambana kumalizana nae !! (Video)
Hizi stori kutoka kwa viongozi wa nyumba za ibada kuwa na matendo yanayoibua maswali mengi sio ngeni masikioni mwetu, nimeinasa nyingine toka South Africa, Mchungaji kawalisha Waumini wake nyoka pamoja…
List ya rappers wakali duniani ina hawa kumi, hakuna 2 Pac wala Kanye West.. ?!!
Wakati mwingine unaweza kujiuliza kwamba inakuwaje mpaka fulani anakosa kwenye list ??!! Ishu ni VIGEZO na MASHARTI mtu wangu !! Watu wa Billboard wametoa list ya wakali 10 ambao wameingia…
Majibu ya rufaa ya Sepp Blatter na Michel Platini ni haya …
November 18 headlines za Rais wa shirikisho la soka ulimwenguni (FIFA) Sepp Blatter na Rais wa shirikisho la soka barani Ulaya UEFA Michel Platini wamerudi tena katika headlines baada ya kufungiwa…
Ya mwisho ya Mama Anne Makinda >>> Ipad za Wabunge? mafunzo? Gym Bungeni? #AyoTV (+Video)
Mama Anne Makinda amekuwa Spika wa Bunge kwa kipindi cha miaka mitano, lakini siku ya Novemba 13 2015 Spika huyo mstaafu alitangaza rasmi kwamba yeye na Uspika basi !! Aliyaongea…