Kwenye selection yako weekend hii, iongeze na hii mpya kutoka kwa Future; ‘Colassal’ – (Video)!
Ni FurahiDay mtu wangu na msanii anayeziandika headlines za leo kwenye kurasa za burudani si mwengine bali ni Future, rapper na Mkurugenzi kutoka kutoka Frebandz. Baada ya kuisogeza kwetu Last…
Wagombea 21 Uspika, Serikali, maduka ya dawa?, Makonda na #Sukuma Twende, Msaidizi wa Lowassa? (Audio).
Good Morning mtu wangu, Uchambuzi wa magazeti redioni @CloudsFM umekupita? Kazi yangu siku zote ni kuhakikisha zile zote kubwa za siku zinakufikia, hizi ni baadhi ya stori zilizoguswa kwenye Uchambuzi redioni.…
Stori zote kubwa kwenye Magazeti ya leo Tanzania November 13 2015, udaku hardnews na michezo kumeamka na hizi
Leo November 13 2015 nimekuwekea tena stori zote kubwa za Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu, usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook…
Pichaz 7 za Private Jet ya Cristiano Ronaldo aliyoinunua kwa zaidi ya bilioni 44 za kibongo
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno anayekipiga katika klabu ya Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo anaripotiwa kutumia mkwanja mrefu kununua ndege binafsi, Staa huyo anayeongoza katika list ya rekodi ya…
Baada ya miaka 7 Man United Evra ndio amegundua chakula kilichokuwa kina mdhuru
Wakati mwingine katika maisha unaweza pata matatizo ya kiafya na baadhi ya wataalam wanaweza kusema kuwa unaumwa hiki lakini ukawa ni uchunguzi batili. November 12 beki wa kimataifa wa Ufaransa…
Full Time ya Togo Vs Uganda November 12, huku Vincent Bossou wa Yanga kule Hamisi Kiiza wa Simba
Ikiwa jiji la Dar Es Salaam kwa upande wa wapenda soka wote wanautazama au kuusubiri mchezo wa kuwania kufuzu kucheza michuano ya Kombe la Dunia 2018 Urusi, mchezo ambao utahusisha…
Hizi ndio sifa za mpira maalum utakaotumika katika michuano ya Euro 2016 (+Pichaz)
Kuelekea michuano ya mataifa ya Ulaya yatakayofanyika mwaka 2016, shirikisho la soka barani Ulaya limetangaza mpira maalum kwa ajili ya kutumika katika mashindano hayo, mpira wa utaotumika katika mashindano hayo…
Baada ya Ronaldo kutaja Top 5 ya wachezaji bora,Pique ametaja first 11 ya Dunia, Ronaldo yumo? …
Ikiwa ni siku chache zimepita toka staa wa klabu ya Real Madrid ya Hispania na timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo kutangaza majina matano ya wachezaji wanaochipukia ambao yeye…
‘Cinderella’ ya Alikiba iliuza Mil. 200, matumizi je? swali la ‘Kidoti’? Haupendi wimbo wake? Majibu haya..
Kwenye show ya XXL alhamisi ya November 12 2015 mgeni aliyealikwa alikuwa ni Alikiba ambaye alikuja kuzindua mdundo wa ngoma mpya ambayo wameshirikiana na Christian Bella... lakini kuna story za…
Kabla mabasi ya mwendokasi hayajaanza uyajue haya, ukifanya uzembe unalipa !!
Mradi wa mabasi yaendayo kasi Dar es Salaam DART uko katika hatua za mwisho kukamilika na kuanza kutumika kama moja ya njia za kurahisisha usafiri katikati ya Jiji. Nimempata Kaimu…