Arusha yaongoza kumiliki bastola, safari za nje zafutwa,elimu bure, sheria ya mitandao Je?..#MAGAZETINI
MWANANCHI Mkoa wa Arusha umetajwa kati ya mikoa ya pembezoni nchini ambayo inaongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya watu wanaomiliki silaha za moto, hasa bastola. Katika maeneo ya burudani…
Nimekusogezea #TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye Magazeti 8 Tanzania NOVEMBER 08, 2015
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu yaTwitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa nimezikusanya zote…
Paul Makonda alipongeza jeshi la polisi kwa kulinda na kudumisha amani…(Picha)
Ni Novemba 7, 2015 ambapo Mkuu wa wilaya ya kinondoni, Paul Makonda aliandaa party la kuwapongeza jeshi la Polisi pamoja na vyombo vingine vya ulinzi iliyofanyika katika uwanja wa Police…
Magazeti ya Tanzania leo Novemba 8, 2015 yameamka na hizi kwenye Michezo na hardnews
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumapili Novemba 8, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Michezo na Hardnews, zote…
Rais wa Corinthians athibitisha Alexandre Pato kuwa sokoni, hii ndio klabu ya Uingereza inayotajwa kumsajili…
Ikiwa bado siku kama 60 kuweza kufikia January ya mwaka 2016 wakati ambao vilabu kadhaa barani Ulaya vitakuwa vikihusishwa kusajili wachezaji kutokana na kuwa ni wakati ambao dirisha dogo la…
Video: Kutoka kwenye birthday ya Queen Darleen.. Mwasiti, Diamond, Shetta na wengine pembeni.
Ilikua ni kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa kwa mwimbaji wa bongofleva Queen Darleen ambaye ni dada wa mwimbaji Diamond Platnumz, unaweza kutazama ilivyokua kwenye hii video hapa chini. https://www.youtube.com/watch?v=HmSlkhoa6r0 Unataka…
Video: Mambo manne ya kufahamu kuhusu Kayumba wa BSS 2015
Kutana na dakika 7 za Kayumba ambaye ni mshindi wa shindano la Bongo Star Search 2015, kwenye hii video hapa chini Kayumba ametupa mambo manne ambayo hatukuwa tunayafahamu kutoka kwake.…
Full Time ya Stoke City Vs Chelsea November 7 (+Pichaz&Video)
lkiwa huu unatajwa kuwa mwaka mbaya kwa kocha wa Chelsea Jose Mourinho kutokana na mwenendo mbovu wa kikosi chake msimu huu, walilazimika kusafiri kuifuata klabu ya Stoke City kucheza mchezo wake…
Full Time ya Manchester United Vs West Bromwich na matokeo ya mechi nyingine za Ligi Kuu Uingereza November 7 (+Pichaz&Video)
November 7 Ligi Kuu Uingereza imeendelea tena kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja tofauti tofauti Uingereza, klabu ya Manchester United iliyokuwa nafasi ya nne katika msimamo wa Ligi Kuu Uingereza…
Umahiri wa Cristiano Ronaldo haujaishia uwanjani pekee mcheki hapa akiimba wimbo wa Rihanna (+Video)
Bado naendelea kukupa headlines za staa wa soka wa klabu ya Real Madrid ya Hispania na timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo, staa huyo anafahamika kwa jitihada zake uwanjani na…