Teknolojia imeziandika headlines tena kwa hiki kifaa kinachofananishwa na gari… (Video)
Kitu kizuri ni kwamba Teknolojia imekuwa ikirahisisha vitu vingi sana sikuhizi... waliobuni hiki kifaa wamekipa jina la 'Walk Car' yani wanakifananisha na gari linalomrahisishia mtu kutembea !! Huu ni ubunifu…
Ratiba ya mechi za Ligi Kuu Uingereza na Hispania October 24 na 25 …
Tanzania bado kuna homa ya uchaguzi mkuu kila mtu macho na akili zake kaelekeza katika siasa kwa sababu masaa yanahesabika kufikia ule muda wa kupiga kura. Kwa upande wa michezo…
Magazeti ya Tanzania leo October 24, 2015 yameamka na hizi kwenye Udaku, Michezo na hardnews
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumamosi Octoba 24, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews,…
Bado siku 1… hapa ni UKAWA Ifakara Profesa Jay na Lowassa, CCM Dar JK na Magufuli
Ikiwa imebaki siku moja.....October 23 2015 Kampeni za Uchaguzi Mkuu zimeendelea maeneo mbalimbali, Mgombea Urais kwa Tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli alikuwa Viwanja vya Jangwani Dar es Salaam, wakati Mgombea…
Kuelekea kufunga kampeni haya ni maneno ya mgombea Ubunge wa Segerea msanii wa filamu Frank
Headlines za uchaguzi bado zinazidi kuchukua nafasi kadri siku zinavyozidi kwenda hususani katika kipindi hiki cha uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani. Ikiwa zimebakia saa kadhaa kabla ya kampeni…
Dakika nne za Mchekeshaji Kingwendu na mipango yake Ubunge wa Kisarawe.. (+Audio)
Muigizaji Kingwendu ni miongoni mwa mastaa ambao wamechukua headline za kugombea Ubunge kwenye Uchaguzi Mkuu 2015 kama Afande Sele, Professor Jay, Muigizaji Frank na wengine. Mchekeshaji na muigizaji Kingwendu anagombea…
Game ya Navy Kenzo imefikia viwango vya SmashHit Trace TV….
Video ya Game ya kundi la Navy Kenzo waliyomshirikisha Vanessa Mdee baada ya kupitishwa kuchezwa kwenye kituo cha TV cha kimataifa cha Trace Urban cha Ufaransa, bado imeendelea kufanya vizuri mpaka…
Milango ya Cinema iko wazi leo Dar es salaam, movie zinazoonyeshwa nimekuwekea hapa na Trailer
Najua nina watu wangu ambao wanapenda kwenda Cinema kila weekend inapofika, kama upo Dar es salaam ratiba ya movie na Trailers zake nimekuwekea hapa mtu wangu. Location ni Mlimani…
Maamuzi ya mwisho kutoka Mahakama Kuu Dar kuhusu watu kukaa Mita 200 siku ya Kupiga Kura
Tukiwa bado tuko kwenye headlines za Uchaguzi 2015 stori iliyochukua kasi katika vyombo vya habari pamoja na mitandao ni kuhusiana na wananchi kusimama mita 200 pale wanapomaliza kupiga kura siku…
Hii ndio sababu iliofanya David Beckham, Ronaldinho, Ferdinand, Giggs, na mastaa wengine kurudi dimbani November 14…
Mastaa wa soka wa zamani watarudi dimbani kucheza katika mechi ya pamoja November 14 2015 katika dimba la Old Trafford. Miongoni mastaa wa zamani wa soka watakokuwepo katika kikosi cha…