Staa wa zamani wa klabu ya Liverpool Djibril Cisse akubali yaishe….
Mshambuliaji wa zamani wa kimataifa wa Ufaransa aliyekuwa anaichezea klabu ya Liverpool ya Uingereza Djibril Cisse October 20 ameingia kwenye headlines baada ya kufanya maamuzi ambayo wanasoka wengi huchukua muda kuyafanya. Djibril…
Bado siku 5…..Ninayo majibu kuhusu kitambulisho cha kupigia kura kikipotea nini kifanyike?, yako hapa
Tukiwa bado tuko kwenye headlines za Uchaguzi zimebaki siku 5 za mtanzania kufanya maamuzi ya kumchagua kiongozi wake, sasa leo nakusogezea hii stori kutokea Tume ya Uchaguzi kuhusu kitambulisho cha…
Shilole anaongeza tattoo nyingine ya Nuh? Huyu hapa kwenye U Heard (+Audio)
Shilole aka Shishi Baby yuko tena kwenye U Heard... Soudy Brown amemcheki na story ni kuhusu tattoo, ana mpango wa kuongeza nyingine? Nuh ana tattoo ya Shilole na Shishi nae…
Baada ya kutangazwa kuwa mchezaji bora wa mwezi wa Simba, Hamis Kiiza katwaa tuzo nyingine..
Baada ya klabu yake ya Simba kumtangaza kuwa mchezaji bora wa mwezi September siku kadhaa zilizopita Hamis Kiiza ametangazwa kuwa mshindi wa tuzo nyingine tena. Kiiza ambaye awali kulikuwa na stori…
#GoodNews video ya Shaa ‘Sugua Gaga’ yagonga idadi hii ya watazamaji YouTUBE!
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Shaa anaziandika headlines za leo kwenye kurasa za burudani! Tarehe 22 February mwaka 2014 msanii huyo wa Bongo Fleva aliachia single yake ya 'Sugua…
Mabeste na tattoo zake.. Damian Soul na Nameless? waliohack Instagram ya Ben Pol… #255 (Audio)
Nameless ni mmoja ya mastaa ambao wamewahi kujizolea Tuzo kibao sana na pia ana jina kubwa kwenye list ya mastaa ambao wanawakilisha vizuri Kenya, unajua kuna collabo inakuja ya yeye…
Ratiba za mechi za Ligi ya Mabingwa Ulaya zitakazochezwa Jumanne ya Oct 20 na Jumatano ya Oct 21
Bado michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya inaendelea leo October 20 na kesho October 21 kwa michezo 16 kupigwa katika viwanja tofauti tofauti barani Ulaya. Miongoni mwa michezo itakayochezwa Jumanne ya…
Kama ulidhani Chris Brown ndiye mwenye tattoo kubwa kichwani, subiri uione hii ya YG!
Ukiniambia nitaje wasanii watano wa Marekani wenye tattoo kupita kiasi mwilini, kwenye orodha yangu majina haya hayatokosekana; Lil Wayne, Birdman, Chris Brown, Tyga na Wiz Khalifa. Miezi michache iliyopita nilikusogezea…
List wa Wachezaji 23 wanaowania Tuzo ya Ballon d’Or hii hapa, Messi, Ronaldo wamerudi tena !!
Cristiano Ronaldo amerudi tena kwenye list ya Wachezaji 23 waliotajwa kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Soka Duniani, Ballon d’Or ambayo itatolewa January 11 2016 Jijini Zurich, Switzerland. Ni ndani ya Jiji…
#GoodNews single ya Belle 9; ‘Shauri zao’ imetambulishwa kwa mara ya kwanza Trace Urban!
Inafurahisha kuona muziki wa Tanzania ukiwakilishwa vizuri na wasanii wetu, wasanii wengi siku hizi wanapigania kupeleka muziki wa Bongo Fleva kwenye soko la kimataifa na jitihada za wasanii wetu kwenda…