Huyu ndio Boss mpya wa Twitter kwa sasa..
July 01 2015 story ya Boss wa Twitter kujiuzulu ilichukua headlines kwenye Vyombo Vikubwa vya Habari pamoja na Mitandaoni pia, ambapo Boss wa wakati huo, CEO Dick Costolo alilazimishwa kujiuzulu kutokana…
Pale ambapo Rubani anafariki katikati ya Safari na ndege inalazimika kutua.. +Video
Dharura inaweza kutokea popote na wakati wowote, unaweza kupata picha hofu utakayokuwa nayo ikitokea mko katikati ya safari kwenye Ndege angani alafu Rubani anafariki !! Ndege ya American Airlines iliyokuwa imetoka Phoenix kwenda Boston…
Will Smith amerudi kwenye muziki, mipango yake ikoje? Changamoto anazozipata je? – (Video).
Will Smith aliwasuprise mashabiki wake wengi duniani wiki iliyopita alipoachia single yake ya kwanza 'Fiesta' baada ya kupotea kweye kurasa za burudani kwa zaidi ya miaka 10... na kwa muonekano…
Kingine kilichonifikia kuhusu hatma ya mwanariadha Oscar Pistorius…
Maisha ya mwanariadha maarufu Oscar Pistorius gerezani yameendelea kubaki njiapanda baada ya wasimamizi wa kesi hiyo kushindwa kufikia muafaka wa kumuondoa gerezani. Jana bodi inayosimamia kesi yake ilikutana kwa lengo…
Mipango mingine ya Bondia Manny Pacquiao ni yeye na Siasa, baada ya Ubunge anaingia na huku..
Jana jumatatu bondia maarufu duniani Manny Pacquiao aliweka wazi mikakati yake ya kuingia kwenye siasa baada ya kutangaza kuwania nafasi ya Useneta katika moja ya majimbo nchini kwake Ufilipino. Staa…
Mtikila kuagwa kesho, ACT Wazalendo & Dk. Slaa, TAKUKURU & rushwa baada ya Uchaguzi! – #PowerBreakfast.
Jumanne ya October 6 2015 imeanza na uchambuzi wa magazeti redioni @CloudsFM, jukumu langu kwako siku zote ni kuhakikisha zile zote kubwa kubwa za siku hazikupiti... kama hukuzisikia zote basi…
Hii ni nyingine mpya ya Bow Wow; ‘Too Real’ – (Audio)!
Baada ya kutangaza kujiunga na management ya Bad Boy Entertainment iliyopo chini ya P Diddy, msanii wa HipHop Marekani, Bow Wow hajapoteza sana muda... mara ya mwisho kumsikia Bow Wow…
Magazeti ya Tanzania Octoba 6, 2015 yameamka na hizi kwenye Udaku, Michezo na hardnews
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumanne Octoba 6, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews,…
Baada ya kuwasili Ureno Cristiano Ronaldo kazindua brand ya viatu vyake (+Pichaz)
Licha ya picha zake za awali kumuonesha Cristiano Ronaldo akiwa katika ndege kuelekea Ureno kujiunga na kikosi cha timu ya taifa ya Ureno, Ronaldo hakuishia kuungana na timu pekee kwani…
Ninayo taarifa kutoka jeshi la polisi kuhusu mauaji ya Afisa Polisi Dar es Salaam…..
Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar esa salaam imetangaza kuwakamatwa majambazi sugu sita walioshiriki katika mauaji ya ASP Elibariki Pallangyo huko nyumbani kwake Temeke tarehe 04.08.2015. 'Watu sita wanashikiliiwa…