Nimekusogezea matokeo ya Arsenal vs Newcastle na Man City vs Watford
Ikiwa imeshinda mechi tatu mfululizo katika msimu mpya wa ligi kuu ya Uingereza, klabu ya Manchester City leo imeendelea kuilinda rekodi yake ya kushinda kwa 100% katika mfululizo wa mechi…
Maneno ya SUMAYE, MBATIA, MBOWE na LOWASSA wakati wa uzinduzi wa kampeni UKAWA..
Katika viwanja vya vya Jangwani, Dar es salaam UKAWA wamezindua kampeni zao kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 25. Viongozi mbalimbali walikuwepo katika uzinduzi huo na kuzungumza mambo mbalimbali kwa Wananchi waliojitokeza…
Full time ya Liverpool vs West Ham nimekuwekea hapa
Baada ya kuanza ligi vizuri kwa kushinda mechi mbili za mwanzo na kutoa sare moja, klabu ya Liverpool leo imeanza kuonja joto ya jiwe katika Barclays premier league. Wakicheza…
Kilichoikuta Chelsea vs Crystal Palace hiki hapa
Ligi kuu ya Uingereza maarufu kama Barclays Premier League imeendelea leo katika viwanja mbalimbali nchini humo. Mchezo huo uliopigwa katika dimba la Stamford Bridge umemalizika kwa Crystal Palace kuharibu…
Hawa ndio wasanii mbalimbali waliojitokeza viwanja vya Jangwani kwenye kampeni za UKAWA… (picha)
Endelea kukaa na mimi mtu wako wa nguvu kwenye Facebook, twitter na instagram kupitia jina langu la 'millardayo' nakusogezea kile kinachoendelea kutoka kwenye kampeni za UKAWA katika viwanja vya Jangwani…
Kutoka kwenye usiku wa Christian Bella na Yamoto Band (Picha 23)
Ni wajibu wangu mtu wangu kukusogezea kila kinachonifikia na hii nisingependa ikupite, Usiku August 28 ilikuwa ni usiku wa aina yake kwa upande wa burudani na ilitendewa haki na…
Nimekusogezea Pichaz 22 kutoka Jangwani kwenye uzinduzi wa kampeni za UKAWA….
Mgombea Urais wa UKAWA Edward LOWASSA muda si mrefu atazungumza na wananchi katika uzinduzi wa kampeni za chama hicho,Hizi ni Pichaz za awali katika ufunguzi wa kampeni hizo. PAPO…
Hukumu ya waandishi hawa baada ya kutangaza habari za uongo…
Mahakama ya Misri imewahukumu waandishi watatu wa kituo cha runinga cha Al jazeera kwenda jela miaka mitatu. Hukumu hiyo ilitolewa baada ya waandishi hao Mohamed Fahmy, Peter Greste na Baher…
Ninayo ratiba ya Ligi Kuu Uingereza na Hispania ya August 29 na 30 mtu wangu…..
Ligi Kuu mbili zinazopendwa zaidi ukanda wa Afrika Mashariki Ligi Kuu Hispania na Uingereza August 29 na 30 kuna michezo kadhaa inapigwa katika viwanja tofauti Hispania na Uingereza . Nakusogeza…
Chris Brown na tattoo mpya kichwani, hii ndio maana yake…!
Siku chache zilizopita Chris Brown aliweka headlines kwenye Instagram na kwenye mitandao baada ya kuongeza tattoo mpya mwilini mwake... kilichotushangaza zaidi tattoo hiyo haijawekwa sehemu yoyote ile mwilini mwake bali…