Cristiano Ronaldo kwenye movie? jibu ni YES !! Trailer yake imenifikia hapa…
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno anayekipiga katika klabu ya Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo mwezi June mwaka 2015 aliingia katika headlines baada ya kukiri kuwa amecheza movie inayohusu maisha yake na…
Mtanzania anaelezea watu walivyofariki mbele yake Mecca, Saudi Arabia.
Ni Moja ya Habari zilizogusa Vichwa vingi vya Habari Duniani September 24 2015 imeripotiwa Taarifa kuhusu watu zaidi ya 700 kufariki kwenye Msikiti Mkuu ambao Waumini wa Dini ya Kiislamu…
Majibu ya Diamond kwa wanaosema atashuka kimuziki kisa kampeni za siasa.
Tukiwa bado kwenye headlines za Uchaguzi 2015 stori ninayotaka kukusogezea ni hii kutoka kwa Diamond Platnumz ambaye amekuwa ni miongoni kati ya wasanii sera za wagombea katika majukwaa mbalimbali. Msanii…
Siku moja kabla ya mchezo dhidi ya Olympiakos, Arsene Wenger kawaambia hili wachezaji wake..
Kocha wa klabu ya Arsenal ya Uingereza Arsene Wenger ambaye anaingia uwanjani na timu yake ya Arsenal akiwa katika mchezo wa pili wa Kundi F, katika mechi ya Ligi ya Mabingwa…
Ben Pol na Avril on air with Millard Ayo – PART 1
Mwimbaji staa Ben Pol akiambatana na Avril ambaye ni mwimbaji staa kutoka Kenya, walikutana na Millard Ayo kwenye studio zake Dar es salaam na kufanya Interview ambayo mengi waliyaweka sawa,…
Baada ya tuhuma za makosa kadhaa kwa Rais wa FIFA, hii ndio kauli yake ya kwanza kuhusu tuhuma hizo..
Ni wiki moja imepita toka Rais wa Shirikisho la mpira wa miguu duniani (FIFA) Sepp Blatter hatuhumiwe kwa makosa kadhaa na ofisi ya mwanasheria mkuu Uswiss. Blatter ametuhumiwa kwa makosa…
Time nyingine ya kumuona Iyanya ameshirikishwa kwenye hii Video ya ‘Chukwudi’…
Staa wa Nigeria Iyanya ameendelea kupewa collabo na wasanii wenzake kutokana na ubora wake katika industry ya muziki. Joe El ameachia video ya ngoma yake mpya iliyo katika album yake…
Mwili wa Mama Celina Kombani tayari umeagwa Dar, safari imeanza kwa ajili ya Mazishi.. #RIP (Picha)
RIP Mama Celina Kombani… Usiku wa September 24 2015 taarifa ya Majonzi ilitufikia ambapo taarifa yenyewe ilikuwa inahusu msiba wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa…
Jose Mourinho na Iker Casillas kukutana tena, haya ndio yalioandikwa mitandaoni…
Ligi ya Mabingwa barani Ulaya inatarajiwa kuendelea siku ya Jumanne ya September 29 kwa vilabu kadhaa kushuka dimbani kupambana kusaka point tatu muhimu ili kuweza kujiongezea point na kujiweka katika…
Muziki wa Barakah Da’ Prince ulianzia hapa.. Diamond na post za Swizz Beatz !! Dully Sykes na Siasa.. #255 (Audio)
Barakah Da' Prince ni miongoni mwa wasanii waliopata changamoto kubwa wakati wakiingia kwenye sanaa muziki.. leo kafunguka kupitia 255 na kusema wakati anaanza sanaa hiyo alikua anaiba muda wake wa…