Ninayo list ya kikosi cha Taifa Stars kitakachoikabili Malawi October 09 2015 …!!
Kocha msaidizi wa timu ya taifa ya Tanzania Hemed Morocco ametangaza kikosi cha Taifa Stars kitakachoingia kambini siku ya October 01 2015... Morocco ametangaza kikosi hicho baada ya kocha mkuu wa…
P Square watembelea ofisi za Jay Z; Roc Nation & TIDAL, wapost picha hii kwenye Instagram…
Kundi maarufu la muziki kutoka Nigeria P Square wanazidi kuvuna mafanikio yao mengi wanayoyapata kupitia muziki... hivi karibuni kundi hilo lilipata fursa ya kutembelea ofisi za rapper Jay Z nchini…
Hivi ndio ilivyokuwa Ndoa ya mtu na mpenzi wake, wote wana matatizo ya akili… #Hekaheka (Audio)
Hekaheka ya leo imetokea Mbagala Dar, Jumatano iliyopita kulikuwa na kitchen party ya binti ambaye ana matatizo ya akili, na jana ilikuwa ndio harusi yao ambapo yeye na mume wake…
Kunguni wamevamia Hostel za Chuo Kikuu Lagos Nigeria, Wanafunzi wamegoma na hali ni hii!!
Jumatatu September 28 2015 moja ya Story zilizonifikia ni hii kutoka Lagosa Nigeria... Unajua usingizi ni moja ya vitu muhimu sana ambavyo unatakiwa kuvipata ukiwa mahali penye utulivu wake kabisa,…
Chris Brown kunyimwa Visa ya kufanya tour Australia!? Majibu ninayo hapa…
Kwenye headlines za burudani leo nimekutana na stori moja inayomhusu R&B superstaa Chris Brown ambaye kwa mujibu wa mtandao wa The Guardian inasemekana kuwa staa huyo amenyiwa Visa ya kwenda…
Cynthia Morgan kaileta kwenu ngoma yake mpya ‘Simatiniya’…Video
Cynthia Morgan kutokea pande za Nigeria amerudi kwenye headlines za burudani baada ya kuileta video yake mpya ya 'Simatiniya' huku ndani ya video hiyo akionekana Burna Boy. Nakukaribisha kuitazama hapa…
Dully Sykes hana Chama? Maneno yake ni haya, wanaodhalilishana na matusi Mitandaoni ?!
Tumeona list ya mastaa wengi wa Muziki na Movie Bongo kwenye Majukwaa ya Kampeni wakiongozana na Wagombea wa nafasi mbalimbali ikiwemo nafasi ya Urais Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu utakaofanyika October…
Mashabiki 10 walioamua kutumia pesa zao ili wafanane na mastaa hawa…(Pichaz&Video)
Kila shabiki wa mtu yeyote maarufu iwe kwenye muziki, mpira au movie anao uhuru wake wa kufanya kile kitu anachoona kinafaa ili kuweza kudhihirisha mapenzi yake kwa yule staa anayemkubali.…
Ijue sababu ya Drake kufanya remix ya ‘Ojuelegba’ na mtazamo wa muziki wake Nigeria!
Msanii kutoka Nigeria, Wizkid alipata shavu kubwa sana kwenye headlines za entertainmnet Marekani baada ya superstaa kutoa Cash Money Records, Drake kuomba kufanya nae remix ya wimbo wake wa Ojuelegba…
Mpya ya Flo Rida ilikupita? ‘My House’ imenifikia na video yake ninayo hapa tayari. (Video).
Baada ya kuachia GDFR, rapper kutoka Miami, Marekani Flo Rida ameamua kurudi na video ya wimbo wa My House, wimbo unaopatikana kwenye EP yake aliotoa miezi michache iliyopita. Kama wewe…