Hekaheka ya Mgonjwa kudai apewe damu ya mtu kwa mganga imenifikia…(Audio)
Hekaheka ya leo inatokea maeneo ya Kigamboni Dar es salaam, Geah Habib amezungumza na Mganga ambaye amekutwa na sintofahamu wakati akimtibu mgonjwa wake mwenye mashetani. Mganga huyo amesimulia na kusema…
Behind the scenes ya video mpya ya Yemi Alade ‘Sugar’ nimekusogezea hapa…Pichaz
Staa wa Nigeria Yemi Alade ameendelea kujipatia mafanikio kupitia Industry ua muziki wake. Kwenye album yake ya 'Kings of Queens' Yemi Alade wakati wowote ataachia video yake mpya inayoitwa 'Sugar'…
Mapenzi yanaumiza na wengine wanashindwa kuyahimili maumivu.
Ni binti Wanjiru Kamanda wa miaka 21 tu ndio amefanya mpaka nimeiandika hii taarifa hapa, alikua mapenzini na kijana Farid Mohammed (24) lakini sasa hivi mapenzi yao yamekuwa habari nyingine.…
Boti za kifahari zaidi duniani zilizotengenezwa kwa gharama kubwa pamoja na pichaz zake..
Ukiachana na ishu ya magari ya kifahari, mastaa wanapenda pia kutumia Boti kwenye maisha yao ya kuenjoy kwa upande mwingine. Katika mtandao wa The Richest wametoa orodha ya boti za kifahari zaidi…
Watu Milioni 2 wamejitokeza kuomba kazi India, unajua nafasi zilitolewa ngapi?
Takwimu zinaonesha China inashika nafasi ya kwanza kwa kuwa na Idadi kubwa ya watu Duniani ambapo ina jumla ya watu Bilioni 1.38, nafasi ya pili ni India ambayo ina jumla…
Kambi ya Magufuli?.. UKAWA na CCM.. Ahadi ya Lowassa? Utafiti wa Uchaguzi Mkuu TZ? (Audio).
Uchambuzi wa magazeti leo Jumanne 22 September 2015 @CloudsFM umekupita? Ninazo hapa zile kubwa kwenye vichwa vya habari asubuhi hii, kama zilikupita karibu ucheki na hizi nyingine hapa chini. Mwenyekiti…
Sio lazima nyumba ya matofali, Teknolojia inakupa na nyumba ya mtindo huu!! (Pichaz)
Ukimwambia mtu yoyote kwamba unatafuta vifaa kwa ajili ya ujenzi wa nyumba yako, moja kwa moja mawazo ya watu wengi ni kwamba nyumba yako inahitaji mawe, mchanga, cement na vitu…
Stori baada ya Stori kwenye kurasa za mbele na za nyuma #Magazeti ya #Tanzania September 22 2015..
Jumanne September 22 2015 stori baada ya stori zimegusa headlines Magazetini mtu wangu. Jumla ya Magazeti 18 ya Tanzania tayari yamenifikia leo, nimekusogezea yote kurasa zake za mbele na za nyuma…
Du!! Tazama maziwa 10 yanayotajwa kuwa na muonekano wa moyo duniani ..(+Pichaz)
Mtu wangu wa nguvu bado millardayo.com inakusogezea uzuri wa dunia, huenda umewahi kutembelea vivutio vingi vya utalii duniani lakini huenda hukuwahi kubahatika kufika wala kusikia kuhusu maziwa haya mazuri ya…
Hii ni Top 10 ya warembo wa mastaa wa Ligi Kuu soka Uingereza 2015
Tumezoea kuona mastaa kadhaa wa soka kuingia katika headlines na wapenzi wao, wakiwa wametoka out katika sehemu mbalimbali za starehe baada ya kazi nzuri walioifanya uwanjani. Stori kutoka talksport.com waliwahi…