Ommy Dimpoz kaibiwa simu Marekani, muhusika kajulikana…Haya ni maneno yake kwa Soudy Brown..#Uheard
Leo Soudy Brown kapiga stori na Ommy Dimpoz ambaye amesema baada ya kumalizika kwa show yao Marekani alisahau simu yake kwenye moja ya maduka makubwa ya nguo wakati akifanya shopping,…
Umeipata ya Bondia aliyefariki baada ya kupigwa Knockout? Hii hapa toka South Africa (Video)
Stori kutoka South Africa inahusu taarifa ya majonzi ambapo Bondia mmoja, Mzwanele Kompolo ambaye alipanda Ulingoni kwenye Pambano la ufunguzi siku ya Jumanne September 15 2015 alifariki muda mfupi baada ya…
Collabo ya Stereo na AY, ‘Stay’ ya Godzilla kwenye documentary, Album mpya ya Hemed PHD Je?..#255
Kwenye zile headlines za burudani leo Rapper Stereo amesema wakati wa kufanya kazi na AY umefika na sasa wanatarajia kuachia bonge la ngoma na itatoka wakati wowote chini ya Studio…
Travis Scott anataka baraka za Chris Brown ili kuwa na Rihanna kimapenzi…!? Majibu ninayo hapa.
Inawezekana sana kuwa historia kati ya Rihanna na R&B superstaa Chris Brown inawasumbua watu wengi ambao wanania ya kuwa na Rihanna kimapenzi. Rapper Travis Scott na Rihanna wamekuwa wakionekana pamoja…
Picha 7 kutoka Chato,sehemu anayotokea Mgombea Urais wa CCM..
Wakati headlines za Uchaguzi mkuu 2015 zikichukua kasi kwa kubakisha wiki kadhaa kabla Watanzania hawajapiga kura ya kumchagua kiongozi wanaemhitaji kamera ya millardayo.com imepata nafasi ya kupita mitaa kadhaa kwenye…
Kumbe JB aliwahi kutapeliwa tena akiwa nyumbani kwao kabisa? Stori yake hii hapa kwenye #Hekaheka… (Audio)
Kwenye stori ya Hekaheka leo ni ya JB kuhusu utapeli, amesema wakati akiwa nyumbani hana kazi baada ya kumaliza masomo, alipewa jukumu la kuangalia kuku na kuuza, siku moja akaja…
August Alsina katusogezea Video yake mpya ndani kamshirikisha Lil Wayne…
Kwenye zile headlines za burudani leo August Alsina amedondosha video ya ngoma yake mpya ya 'Why I Do It' akimshirikisha rapper Lil Wayne. Nakukaribisha hapa kuitazama mtu wangu.... https://www.youtube.com/watch?t=3&v=kqojpZmDiTw&hd=1…
Haya ni Maisha mengine ya kocha Jose Mourinho nje ya soka…
Jina la José Mourinho ni miongoni mwa majina yenye ushawishi mkubwa sana kwa upande wa soka duniani..amekuwa kocha mwenye mafanikio makubwa katika timu mbalimbali alizowahi kufundisha ikiwemo Chelsea ambayo anaifundisha kwa…
Baada ya kimya kingi Lady Gaga amerudi na style mpya kwenye ‘Til It Happens To You’! (Video).
Mara ya mwisho umesikia ngoma mpya kutoka kwa Lady Gaga ilikuwa ni lini mtu wangu!?... Baada ya ukimya wa muda mrefu hatimaye Lady Gaga amerudi kuchukua nafasi yake kwenye kurasa…
List ya viwanja 10 vya ndege ambavyo ni vya gharama zaidi duniani…(Pichaz)
Wakati Tanzania ikipambana kukamilisha upanuzi wa ujenzi wa uwanja wa ndege ambao utakuwa bora zaidi na kuziwezesha ndege kubwa zaidi duniani kuweza kutua kwa wingi..hapa nimekuwekea list ya viwanja 10 ambavyo vimejengwa…