Didier Drogba adhihirisha ubora wake Ligi Kuu Marekani (Pichaz&Video)
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Chelsea na timu ya taifa ya Ivory Coast Didier Drogba, ambaye kwa sasa anaichezea klabu ya Montreal Impact inayoshiriki Ligi Kuu Marekani (MLS), ameanza vizuri katika mechi…
Utundu wa Cristiano Ronaldo na Ricardo Quaresma katika ndege kabla ya kuelekea Albania (Pichaz)
Kikosi cha timu ya taifa ya Ureno kilisafiri Jumamosi ya September 5 kuelekea Albania kucheza mechi ya kuwania tiketi ya kucheza michuano ya Euro 2016. Mchezo utapigwa Jumatatu ya September…
Hizi ni hoteli 10 kongwe lakini bado ni za kifahari zaidi duniani (Pichaz)
Mindombinu bora ni mj aya sababu inayofanya miji kukua kwa kasi sana hasa kwa nchi zinazoendelea duniani. Katika pitapita zangi nimekutana na hizo hoteli kubwa na Maarufu duniani ambazo…
Ninazo picha 30 za muonekano wa Rock City Shopping Mall ya Mwanza a.k.a Mlimani City yao….
Kazi yangu ni kuhakikisha haupitwi na chochote na hapa stori ninayotaka kukusogezea ni hii kutokea 88.1 (Mwanza) kuhusiana na ule ujenzi wa Mall inayoitwa Rock City Shopping Mall aka Mlimani…
Wayne Rooney kaweka rekodi hii mbele ya mkewe Coolen na mtoto wake Kai (Pichaz)
Kama ambavyo ilivyokuwa kwa upande wa bara la Afrika kuliwa na michezo kadhaa kupigwa weekend hii na bara la Ulaya ilipigwa michezo kadhaa ya kuwania kufuzu kucheza michuano ya Euro 2016.…
Jinsi kilivyohappen kwenye Tamasha la Nyama choma Festival Dar…. (picha)
Ni kijiwe kingine kabisa ambacho kinawakutanisha watu wa nguvu kwenye mikoa mbalimbali Tanzania, hapa inaliwa nyama choma, marafiki wanakutana na kuenjoy good music pembeni, michezo ya watoto, burudani ya live band…
Mapya ya Dr.SLAA, Wanafunzi kutofanya mitihani,Ofa ya Makamba,LOWASSA,MAGUFULI…#StoriKubwa
HABARILEO Mwanasiasa mkongwe nchini na kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Chrisant Mzindakaya amewataka Watanzania wasikubali kupiga kura kwa ushabiki. Ameonya kuwa upigaji kura kwa ushabiki, utaligharimu taifa hivyo…
#TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye Magazeti 7 ya Tanzania Septemba6, 2015
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa…
Magazeti ya Tanzania Septemba 6, 2015.. Michezo na hardnews !
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumapili Septemba 6,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Michezo na Hardnews, zote ziko…
Pichaz za uharibifu na vurugu za mashabiki waliyo hudhuria katika mechi ya Hungary Vs Romania..
Sehemu yoyote panapokuwa na mkusanyiko wa watu wengi, chochote kinaweza kutokea kutokana na wingi wa watu, hii imetokea katka mechi kati ya Romania dhidi ya Hungary ambapo mashabiki waliamua kufanya fujo…