Magazeti ya Tanzania Septemba 2, 2015.. Udaku, michezo na hardnews !
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumatano Septemba 2,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews, zote ziko…
Chelsea yamsajili Michael Hector kutoka Reading, lakini yafanya maamuzi haya…
Klabu ya soka ya Chelsea imefunga dirisha la usajili msimu huu kwani, kwa Uingereza dirisha la usajili lilikuwa limefungwe jioni ya Septemba 1 wakati kwa upande wa Hispania na Ufaransa…
Huyu ndio mshambuliaji mpya aliyesajiliwa na Man United
Dakika zipatazo 40 kabla ya dirisha la usajili barani ulaya kufungwa, klabu ya Manchester United imetangaza usajili wa mshambuliaji mpya. Mshambuliaji huyo ni Anthony Martial, kinda mwenye miaka 21,…
Dau la usajili wa Anthony Martial Man United lamfanya Wayne Rooney aulize maswali haya…
Klabu ya Manchester United ya Uingereza ipo karibuni kumsajili mshambuliaji chipukizi kutokea Monaco ya Ufaransa, licha ya kuwa bado haijathibitika kuwa wamemsajili ila tayari Anthony Martial ameripotiwa kufanya vipimo vya afya…
Arsene Wenger kumsajili Edinson Cavani? Picha ipo hapa iliyonaswa wakiwa Paris usiku wa Aug 31…
Klabu ya Arsenal ya Uingereza ambayo kwa siku za hivi karibuni imeripotiwa kutafuta mshambuliaji wa kati, lakini ikawa inahusishwa kutaka kumsajili Karim Benzema kabla ya kocha wa Arsenal Arsene Wenger kukata…
Nimekusogezea Pichaz 10 za Dr Slaa akizungumza na vyombo vya habari Sept. 1
Dr. Wilbrod Slaa leo amezungumza na vyombo vya habari katika hotel ya Serena na kuzungumza mambo mazito kuhusu ukimya wake. Nimekuwekea Pichaz 10 wakati akizungumza na waandishi wa habari…
Sentesi 57 za Maneno mazito aliyozungumza Dk SLAA kwa WAANDISHI wa Habari leo…
Dr.Wilbrod Slaa leo amezungumza na waandishi wa Habari Dar es salaam na kuzungumza mambo mbalimbali yaliyomfanya kuwa kimya ndani ya Chama chake cha CHADEMA. Hapa nimekuwekea maneno aliyokuwa akiyazungumza mbele ya…
Baada ya kumkosa John Stones, Chelsea yamsajili beki huyu wa Senegal kutokea Ufaransa
Klabu ya Chelsea ya Uingereza ambayo kwa siku za hivi karibuni imekuwa ikituma ofa zaidi ya tatu za kuomba kumsajili beki wa klabu ya Everton ya Uingereza John Stones bila…
Jux na msichana ampendae, Madee na tangazo la dawa ya meno + Nuh Mziwanda na biashara mpya. #255. (Audio).
Kwenye #255 leo amesika msanii wa Bongo Flavani Jux ambaye leo anasherekea siku yake ya kuzaliwa, Jux amesema leo ni siku muhimu kwake na kusherekea siku hii ataweka wazi barua…
Chelsea yaendeleza utamaduni wake wa kumtoa Moses kwa mkopo, sasa tutamuona katika klabu hii…
Baada ya Song kujiunga na klabu ya West Ham United kwa mkopo wa muda mrefu, ni msimu wake wa pili kuitumikia klabu hiyo kwa mkopo akitokea FC Barcelona ya Hispania,…