Alichokisema Papa Niang kipo hapa kuhusu Simba na Yanga pia (+Audio)
August 21 mshambuliaji kutoka Senegal Papa Niang aliwasili katika klabu ya Simba akitokea kwao Senegal, Papa anawasili Simba ikiwa ni siku ya pili toka utangazwe ujio wake katika klabu ya…
Mgombea wa Urais kutoka chama cha ADC arejesha fomu katika ofisi za NEC… (Picha)
Ni headline baada ya headlines zoezi la kurejesha fomu za kugombea Urais 2015 linaendelea na hapa ni mgombea wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Chief Lutalosa Yembe. Na…
Msemaji wa Azam FC kathibitisha ili kufanyika kwa ajili ya Kipre Bolou
Ikiwa imebakia siku moja kabla ya mchezo unaosubiri kwa hamu na mashabiki wa soka Tanzania kuuona, mchezo wa ngao ya Hisani kati ya Yanga na Azam FC, klabu ya Azam…
Milango ya Cinema iko wazi leo Dar es salaam, movie zinazoonyeshwa nimekuwekea hapa na Trailers
Najua nina watu wangu ambao wanapenda kwenda Cinema kila weekend inapofika, kama upo Dar es salaam ratiba ya movie na Trailers zake nimekuwekea hapa mtu wangu. Location ni Mlimani City-Cinema…
King Kaka kawashirikisha Joh Makini & G Nako kwenye hii Video ‘Najipendelea’
King Kaka ni Rapper toka Pande za Kenya, ameachia Video ya Single yake mpya akiwashirikisha wakali wawili kutoka Crew yaWeusi, Joh Makini na G Nako, ngoma yake inaitwa 'Najipendelea' . Video imefanyika hapa…
Hawa ndio wachezaji 22 wa Taifa Stars watakaokwenda kuweka kambi Uturuki…
Kocha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa August 21 ametangaza kikosi cha wachezaji 22 watakaosafiri kwenda kuweka kambi ya siku 8 Istanbul Uturuki. Mkwasa ametangaza…
Weekend hii Future anataka wimbo huu uwe kwenye playlist yako: ‘Where Ya At’ Feat. Drake (Video).
Tukienda pande za Marekani Ijumaa hii nitakukutanisha na rapper maarufu Future ambaye kwa ushirikiano na rapper wengine maarufu na mkubwa kutoka Cash Money Records Drake wanaziandika headlines weekend hii kwenye…
Jokate kayajibu haya kuhusu uhusiano wake na Ali Kiba walivyokutwa pamoja Nairobi Kenya… #UhearD (Audio)
Tetesi za uhusiano kati ya Jokate na Ali Kiba zimeendelea kubeba headlines nyingi kwenye mitandao ya kijamii lakini wenyewe mara nyingi wamekuwa wakikataa kuhusu stori hiyo, kuna ukweli wowote? Ali…
Safari ya Mgombea Urais wa TLP alivyorudisha Fomu zake Ofisi ya Tume ya Uchaguzi NEC leo ..(Picha)
Ni mwaka 2015 na headlines zake za Uchaguzi Mkuu Tanzania ambapo leo baadhi ya wagombea Urais wamefika kwenye Ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dar es Salaam kurejesha fomu…
Ni time ya Dk. John Pombe Magufuli na mgombea mwenza kurudisha Fomu za Urais katika Ofisi za NEC Dar es Salaam… (Pichaz)
Baada ya Edward Lowassa kurudisha Fomu zake za Kugombea Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu wa October 2015, ilifuatia zamu ya Mgombe wa CCM, Dk. John Pombe Magufuli pamoja na…