Mgombea Urais Edward Lowassa alivyosindikizwa kurudisha Fomu za kugombea Urais 2015 katika ofisi za NEC… (Picha)
August 21 2015 ndio siku ambayo Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania NEC ilitangaza kwamba Wagombea wote wa Urais wanatakiwa kurudisha Fomu zao Makao Makuu ya Ofisi za Tume hiyo, Posta…
Dar marufuku kushikana mikono, Ester Bulaya azua utata na Mgombea CCM ajeruhiwa kwa risasi…#StoriKubwa
MWANANCHI Mgombea Udiwani wa Chama cha Mapinduzi kata ya Sangabuye Mwanza, James Katole amejeruhiwa na risasi na watu wasiofahamika. Mgomgea huyo alipigwa risasi juzi akiwa kijijini kwake Nyangoka, Busega ambapo…
Ile collabo tuliyokuwa tukiisubiri iko njiani, Mafikizolo na Diamond Platnumz kurekodi “Tell Every One”
Baada ya kuweka headlines siku ya jana kwa kufanya collabo na superstaa kutoka Marekani Ne-Yo, staa wa Bongo Flava Diamond Platnumz yupo njiani kuelekea South Africa kufanya ile collabo tuliyoisikia…
Ninazo tayari #TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye Magazeti 10 ya Tanzania August 21, 2015
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita,…
AyoTV: Maneno ya Irene Uwoya kwa Wasanii walioshindwa Ubunge 2015.
Irene Uwoya ni mwigizaji kutoka bongomovie Tanzania na amekua miongoni mwa Wanawake watano wanaotajwa kuwa na uwezo mkubwa wa kuigiza Tanzania, mwaka huu 2015 ameingia kwa mara ya kwanza kwenye…
Lowassa na Magufuli kimyakimya? NEC matokeo ni ndani ya siku 3!? Nkurunziza aapishwa!? (Audio)
Ni ijumaa nyingine na uchambuzi wa magazeti @CloudsFM umefanyika, ninazo zile zote zilizotawala kwenye vichwa vya habari na kuguswa na Uchambuzi wa Redioni. Hofu imetanda kwa watumiaji wa magari na…
Kwa leo hii nyumba imenivutia! jamaa anatuambia nyumba sio lazima vitu vingi
Ni nyumba simple ukiitazama kuanzia vilivyoko ndani, ni vichache na ambavyo kwangu vimenivutia sana... jamaa wametuonyesha kwamba Sebule nzuri sio lazima iliyojaa vitu vingi au picha nyingi na ukuta wenye…
Magazeti ya Tanzania Agosti 21, 2015.. Udaku, michezo na hardnews !
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Ijumaa Agosti 21,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews, zote ziko…
Hili ndio Jumba la kifahari la Raheem Sterling analoliuza (Picha 20)
Aliyekuwa winga mshambuliaji wa klabu ya Liverpool Raheem Sterling ambaye kwa hivi sasa anaitumikia klabu ya Manchester City baada ya kujiunga nayo msimu huu akitokea Liverpool kwa ada ya pound…
Good news:Diamond aingia studio kurekodi na staa wa Marekani
Tanzania inaendelea kujichukulia headline baada headlines tuliona Coke Studio Africa iliwakutanisha Ali Kiba na staa wa Marekani Ne-YO Nairobi kwenye kuandaa single mpya. Sasa good news ninayotaka kukusogezea ni kwamba…