Balotelli mambo magumu Liverpool, hatma yake imewekwa wazi na Kocha Brendan Rogers
Maisha ya mshambuliaji wa Liverpool Mario Balotelli ndani ya klabu hiyo yamezidi kuwa magumu baada ya kocha wa timu hiyo Brendan Rogers kumuweka wazi kuwa hana mipango naye kwa msimu…
Ulitarajia kumuona Benzema kwenye Kikosi cha Arsenal? Kocha wa Madrid kasitisha mipango..
Huku kukiwa na matumaini miongoni mwa mashabiki wa Arsenal juu ya uwezekano wa kumsajili mshambuliaji raia wa Ufaransa Karim Benzema, kocha wa Real Madrid Rafael Benitez amethibitisha kuwa mshambuliaji huyo hatauzwa…
TFF yathibitisha kumkosa mshambuliaji kutoka Uingereza kwa ajili ya kujiunga na Taifa Stars (+Audio)
Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF August 18 kupitia kwa afisa habari wa shirikisho hilo Baraka Kizuguto limethibitisha kumkosa mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayecheza katika klabu ya Mansfield Town…
Maneno ya Fid Q baada ya akaunti yake kuvamiwa na jina linalosomeka Wema Sepetu Advert
Akaunti ya Instagram ya Mwana Hip Hop Tanzania Fid Q imevamiwa (hacked) na mtu asiyejulikana na baada ya kuivamia akaibadilisha jina,maelezo ya Fid Q anasema mwanzoni aliiandika Mwanaharakati kisha akabadilisha…
Birdman kafikishwa tena Mahakamani, safari hii na producer wake…!
Producer wa Birdman, DVLP anamshitaki rapper huyo dhidi ya deni la dola 200,000 (sawa na Tzs. Million 400) kwa kazi za production ambazo boss huyo wa Cash Money Records hakumlipa. Producer DVLP…
Meninah ameolewa ghafla, Soudy Brown kampata kaka yake.. Kumbe mipango ilikuwa hivi !! (U Heard)
Soudy Brown huwa anazinasa stori za chinichini, anachokifanya ni kuwatafuta wahusika na kucheki nao kama kwenye hizo za chinichini zina ukweli au ni za kuzushwa, iliyomfikia jamaa leo inahusu ishu…
Fid Q ana neno kuhusu Mashindano ya Vipaji.. Chemical alianzaje rap? Stan Bakora na Batuli (255 Audio)
Kwenye zile stori za 255 leo kasikika Fid Q... kipo alichokisema rapper huyo kuhusu Mashindano mengi ya kutafuta vipaji vya kuimba, lakini mara nyingi hakuna mshindi kwa upande wa Rap. Fid…
Hekaheka ya waumini kugoma kuondoka eneo walilopewa, Polisi wakafanya kazi yao…(Audio)
Timu ya Hekaheka imepokea stori kutoka Mwanza kuhusu ishu ya waumini wa Kanisa moja ambao wanaondolewa kwa amri ya Mahakama baada ya kugoma kuondoka kwa hiari yao. Waumuni hao walipewa eneo hilo miaka mingi…
Kwenye magari makali kabisa yatakayoingia sokoni 2016, usipitwe na hii Lexus mpyampya… (Pichaz)
Najua kuna watu ni wapenzi wa magari mazuri mazuri, kwa sababu kila siku tunaona kuna aina mpya ya magari ambayo yanatambulishwa Duniani, nimeipata hii ya leoleo nikaona hata nisiikawize, na…
Manchester United imefikia Hoteli hii kujiandaa na Mechi yao ya August 18 2015 na Club Bruges
Kwa Mashabiki wa Soka la Uingereza na Ulaya najua waliweka Kumbukumbu ya hii tarehe, August 18 2015 ambapo Mabingwa na Wakongwe wa Soka Uingereza, Manchester United watakutana na wakali wa Club Bruges. Mchezo…