Zinazotajwa kuwa picha 10 kali za ufunguzi wa Ligi Kuu Uingereza ziko hapa
Baada ya muda mrefu wa mapumziko kwa Ligi mbalimbali Duniani, sasa tunarudi tena kwa mwanzo wa msimu mpya wa Ligi Kuu Uingereza ambao umeanza August 8 kwa michezo kadhaa kupigwa…
Goli la Simba umeliona vs SC Villa ya Uganda? ninayo video hapa !
Mpambano uliokuwa unasubiriwa kwa hamu ni kati ya Simba na SC Villa ya Uganda, mchezo ambao ulimalizika kwa Simba kushinda kwa goli 1-0 goli pekee lilifungwa na Awadh Juma dakika…
Hiki ndicho kilichotokea Simba Day nimekusogezea (Picha&Video)
Klabu ya soka ya Simba ambayo huwa na utamaduni wa kuadhimisha siku ya Simba kila mwaka ila kwa mwaka huu ilikuwa ni tofauti na siku zote kwani kwa mwaka huu…
Full time ya Chelsea vs Swansea City na matokeo mengine ya EPL nimeweka hapa
Baada ya Manchester United na Tottenham Hotspur kufungua dimba la mechi za ligi kuu ya Barclays Premier League - Mabingwa watetezi wa kombe hilo Chelsea nao jioni hii walianza utetezi…
Dakika 12 kwenye Video kilichosemwa na Viongozi wa UKAWA baada ya Prof. Lipumba kuondoka CUF…
Baadhi ya Viongozi wa Vyama vinavyounda Umoja wa UKAWA wamekutana Dar, kilichotolewa rasmi kabisa ni taarifa ya Ratiba ya Mgombea wao wa Urais, Edward Lowassa kuchukua Fomu ya Urais August…
Unaambiwa lock hii ndio komesha ya wizi wa Baiskeli… (Pichaz+Video)
Kama uliwahi kukerwa na ishu ya wizi wa Baiskeli, basi wataalamu watatu wamekuja na majibu yote mtu wangu..!! Cristóbal Cabello, Andrés Roi Eggers na Juan José Monsalve waliachana na masomo…
Manchester Utd vs Tottenham – nimekuwekea matokeo hapa.
Ligi kuu ya Uingereza imeanza rasmi leo hii na mchezo wa kwanza wa ligi hiyo maarufu zaidi duniani ulicheza baina ya vilabu vya Manchester United vs Tottenham Hotspur. Mchezo…
UKAWA wamezungumza kwa mara ya kwanza toka Lipumba kaondoka… (+Pichaz)
Tayari Vyama mbalimbali ikiwemo DP, CCM na TLP vimefika katika Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kwa ajili ya Wagombea wao kuchukua Fomu za Kugombea Urais kwenye Uchaguzi…
Snura kwenye hii mpya… ni video ya dakika 4 ‘akijibadua’
Ni video mpya kutoka kwenye kampuni mpya inayozisogelea vizuri headlines za utengenezaji wa video Tanzania (Ace Films) ambao sasa hivi mikono yao imegusa na hii ya 'najibadua' ya Snura. https://www.youtube.com/watch?v=q0F_qCYtYLg…
Hotuba za Nikki wa II, Diamond, Ali Kiba, Idris na Rais Kikwete akiagwa !
Aug 6 2015 Wasanii wa Tanzania kwenye bongofleva na filamu walifanya party ya kumuaga Rais Kikwete anaemaliza muda wake, hii ni speech ya Wasanii pamoja na Rais JK mwenyewe. https://www.youtube.com/watch?v=34W-30cU03I…