Hivi ni vituko vitano alivyowahi kufanya mchezaji mtukutu Mario Balotelli (Pichaz&Video)
Mario Balotelli ni mshambuliaji wa Kimataifa wa Italia mwenye asili ya Ghana lakini anaichezea klabu ya Liverpool ya Uingereza, Balotelli wengi tunamfahamu kwa tabia yake ya utukutu huwa haoni hatari kufanya…
Picha za mwanzo kutoka Mliman City,Wasanii wameungana kumuaga Rais J Kikwete na kumkaribisha Magufuli.
Mtu wangu nakusogezea picha za mwanzo kabisa kinachoendelea kwa sasa kwenye ukumbi wa Mliman City Dar es salaam ambapo Muungano wa Wasanii wa Tanzania wameandaa party kwa ajili ya kumuaga…
Kumbe 50 Cent na Ja Rule walishawahi kuwa na beef!!
Mvutano wa Meek Mill na Drake unaweza ukawa umefufua vitu vilivyowekwa chini ya carpet kwa muda mrefu sana kati ya Ja Rule na 50 Cent. Siku chache zilizopita Ja Rule…
Maneno ya TCRA baada ya mahudhurio machache ya wasanii Aug 06 DSM.
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania(TCRA) leo Aug 06 waliwaalika wanamuziki wa Tanzania kwa ajili ya semina ya namna ya kuziweka salama akaunti zao za mitandao ya Kijamii baada ya malalamiko yaliyoripotiwa na…
Depay wa Man United aomba namba maalum.
Kiungo mshambuliaji wa timu ya Manchester United Memphis Depay amemuomba kocha wa timu hiyo kumkabidhi jezi namba 7 ambayo kwa sasa haina mtu kwani anaamini kuwa ana kila sifa…
Pogba akabidhiwa namba nzito aliyoivaa Tevez, ataiweza?
Nchini Italia kiungo ambaye amekuwa gumzo kwenye soko la usajili akitajwa kuwa mbioni kujiunga na karibu timu zote kubwa Paul Pogba amekabidhiwa jezi namba 10 ambayo atakuwa akiivaa kwa msimu…
Breaking News: Huu ndio uthibitisho rasmi kwamba Angel Di Maria kashauzwa kutoka Man United !!
Hatimaye sakata la usajili wa kiungo mshambuliaji wa Kiargentina Angel Di Maria limefikia tamati muda mfupi uliopita. Kupitia akaunti rasmi za mitandao ya kijamii ya vilabu vya Manchester United na PSG…
Arsenal hali tete, staa wao ni jeraha juu ya majeraha…
Mkosi umezidi kumuandama kiungo wa Arsenal Jack Wilshire ambaye taarifa toka jijini London zimearifu hii leo kuwa atalazimika kukaa nje ya uwanja kwa muda wa zaidi ya miezi miwili akiuguza…
Barakah Da Prince, Agnes Masogange wana uhusiano? Sikiliza majibu ya Barakah…#UhearD (Audio)
Barakah Da Prince ameonekana Airport na mmoja wa wafanyakazi wa uwanja wa Ndege akiwa na Agnes Masogange mida ya saa 1 usiku. Barakah amesema ni kweli alikuwa airport kamsindikiza mtu lakini…
Mkwasa kawaita mastaa hawa 29 kuunda Kikosi cha Taifa Stars kitakachopaa kwenda Uturuki..(Audio)
Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Charles Boniface Mkwasa leo ametangaza kikosi cha wachezaji 29 watakaongia kambini Jumapili katika hoteli ya Tansoma kwa ajili ya kambi ya wiki moja ya mazoezi. Katika…