Swizz Beatz kaikubali tena na tena midundo ya Wizkid, kayaandika na haya maneno tisa tu…!!
Swizz Beatz ni producer mkali kabisa ambaye hata ukisema utaje majina makubwa ya Maproducer wakali watano Marekani huwezi kumsahau... unajua Producer ni mtu ambaye anajua sehemu kubwa sana ya udhaifu…
Nay na namba 966, TCRA na account za wasanii mitandaoni… Jose Mtambo anamkubali zaidi huyu?..255 (Audio)
Nay wa Mitego licha ya kuanza kuzitaja nammba za 966 kwenye nyimbo zake, amesema pia atakua akitumia namba hizo hata katika magari yake..amesema huwa anatoa oda na kusubiri...Ni kitu ambacho…
Wiz Khalifa ni headlines baada ya headlines, karudi tena na hii ‘Say So’…(Video)
Baada ya ngoma yake ya 'See you Again' akimshirikisha Charlie Puth kufanya vizuri, Rapper Wiz Khalifa amerudi tena kwenye headlines za burudani na safari hii ameachia video yake mpya inayoitwa…
HehaHeka ya mwanafunzi kupandisha mapepo na kudai yametumwa na mwalimu wake…(Audio)
Wiki iliyopita baadhi ya vyombo vya habari viliandika stori ya mwanafunzi mmoja wa Shule ya Msingi Kunguru iliyopo Goba, Dar es salaam kupandisha mapepo huku yakitaja kutumwa na mwalimu wake…
Ukiona wahudumu kwenye ndege hawaonekani, ujue wako huku wengine wamelala… !! (Pichaz)
Ukiwa ndani ya ndege unasafiri kuna wale wahudumu ambao wanakuwa wanazunguka hivi kuhudumia wasafiri, muda mwingi ni wakarimu na utaona wanatabasamu muda wote, unadhani hawapumziki? Nimekutana na story kwenye mitandao…
Picha za mtoto wa Whitney Houston akiwa kwenye jeneza ni biashara? familia je?..
Bobbi Kristina amefariki akiwa na miaka 22 baada ya kuugua muda mrefu kutokana na kudondoka bafuni..sababu ikidaiwa ni kuzidiwa na dawa za kulevya alizokua akitumia. August 3 ilikuwa siku ya…
Alichoshuhudia Madee baada ya wezi kwenye bodaboda kupora pochi barabarani.. (Audio)
Kwenye show ya PowerBreakfast August 05 2015, Madee kasikika akiwa na Soudy Brown.. U Heard imesikika hapahapa na ishu ni wizi ambao Madee kaushuhudia maeneo ya Sinza Dar usiku. Dada mmoja…
Wizkid ndio kashatoboa Marekani !! Wacheki Alicia Keys na Swizz Beatz walivyomkubali..(+Video)
Wasanii wa Nigeria wamekuwa kwenye Headlines sana kupasua njia ya muziki wao kwenye soko la dunia, huwa tunasikia sana Wasanii wakubwa wa Marekani wakija Africa wanaongea kabisa kwamba hawakutegemea kuikuta…
Kaiunganisha Tanzania na Marekani, ni time ya kumjua vizuri Ernest Napoleon (video)
Ernest Napolion ni Mtanzania ambaye amethubutu na akaweza japo hajafika, alikua mtangazaji wa EATV mwanzoni mwa miaka ya 2000 na baadae akaondoka Tanzania, kakaa Marekani na akachukua huu ujuzi, historia…
Kwenye StoriKubwa >>> Ya MAGUFULI, Rais JK.. Lowassa? mastaa waliokatwa YANGA …
MWANANCHI Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli, na mgombea mwenza, Samia Suluhu Hassan jana walichukua fomu kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), huku Rais Jakaya Kikwete…