Mapokezi ya Magufuli kuchukua Fomu na alivyosindikizwa mpaka ofisi za CCM
Agosti 4, 2015 ni siku ambayo mgombea wa nafasi ya Urais kupitia CCM Dkt. John Pombe Magufuli tayari kafika kwenye ofisi za Tume ya Uchaguzi Tanzania kuchukua fomu za kuwania…
Hatma ya Pedro FC Barcelona ipo mikononi mwake, kauli ya Enrique ipo hapa
Kocha wa klabu ya FC Barcelona ya Hispania Luis Enrique amezungumzia dhamira yake kuhusu mshambuliaji wake Pedro Rodriguez kutaka kuhama klabu hiyo. Enrique amezungumzia lengo lake ni angependa kuona Pedro anabakia FC Barcelona.…
Pichaz kuanzia nje mpaka ndani ya Ukumbi wa Mlimani City Dar kwenye Kikao cha CHADEMA July 04 2015
Headlines nyingine zilianza kuandikwa Tanzania kwenye Siasa 2015, ambapo July 28 2015 Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli alikaribishwa CHADEMA na kupewa Kadi za Uanachama yeye pamoja na…
Aliamua kuchukuwa maisha ya baba yake mzazi na mtoto wake kwa sababu hii…
Stori kutoka Marekani iliyonifikia muda sio mrefu inamhusu mwanadada Cheyanne Jessie 25, aliyeshitakiwa kwa kumuua mtoto wake wa miaka 6 kwa sababu alikuwa hataki mtoto huyo aingilie mapenzi yake na…
List ya wasanii wanaoingiza fedha nyingi..,Hemed na changamoto za kazi yake, Amini kabadili dini?..#255 (Audio)
Mtandao wa Ghafla.co.KE wa Kenya unaosimamia hatimiliki umetoa list ya wasanii 10 wanaoingiza mkwanja mrefu zaidi Kenya ambapo baadhi ya wasanii wa Bongo wamefanikiwa kuingia kwenye orodha hiyo.. namba moja…
Haya mengine ya kichanga kukutwa hai ndani ya shimo la choo yamenifikia!
Stori za kukuta watoto wametupwa chooni hazipo Africa tu bali hata kwa wenzetu pia. Nimekutana na hii moja kutoka Beijing China ambako polisi wameokoa mtoto mchanga aliyetupwa chooni siku chache…
Mwendelezo wa HekaHeka ya mwanaume kufumaniwa ndani ya chumba cha mpangaji mwenzake…(Audio)
Hekaheka ya leo ni mwendelezo wa ile ya jana iliyotokea maeneo ya Kigogo, Dar es salaam ambapo jamaa mmoja alifumaniwa baada ya kuingia chumbani kwa mpangaji mwenzake ambaye ni mke…
Kwenye headlines za Uchaguzi Tanzania,Makomando wametoa hii (+video)
Oktoba 25 Watanzania itakua ni time yetu ya kuwachagua viongozi mbalimbali kuanzia Madiwani,Wabunge mpaka Rais ambaye atakuwa wa awamu ya 5 bado kuna mengi mazuri tunayasikia kadri siku zinavyoenda kuelekea…
Kipaji kingine cha Cristiano Ronaldo mbali na soka…unadhani ungeweza kumtambua? (Video&Pichaz)
Hakuna mtu yeyote ambaye aliamini huyu ndiye mchezaji bora wa soka duniani Cristiano Ronaldo akiwa katika muenekano mwingine hadi pale alipovua mavazi aliyokua ameyavaa na kumshangaza kila mmoja alifanikiwa kumuona.…
Maneno ya Nape kwa waliohama CCM, idadi ya waliojiandikisha na Mbowe kazungumzia ukimya wa Dk.Slaa…#StoriKubwa August4
HABARILEO Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amesema wanachama waliokihama chama hicho wamejivua nguo mbele za watu na kwamba wapinzani wanaowachukua wanahangaika na mafuta machafu. Aidha, amesema…