NDUGAI alimpiga kada mwenzake?, Dk.Slaa ana hofu?, LOWASSA tena…#StoriKubwa July31
MWANANCHI Wabunge wawili waliohama CCM hivi karibuni, James Lembeli na Ester Bulaya wamepitishwa katika kura za maoni kuwania ubunge kupitia chama chao kipya. Wakati Lembeli akipitishwa kwa kura za kishindo…
Hemed PHD imebaki stori tu sasa hivi….
Mwimbaji/Mwigizaji Hemed PHD kutoka kwenye bongofleva time hii anayo hii kwa ajili yetu... amethubutu na ameweza kutuletea video kali iliyofanywa Tanzania kwa kutumia location zenye mvuto ambazo sio kawaida kuziona…
Ni furahiday mtu wangu.. Karibu TENA ucheki trailers na ratiba ya movies leo July 31
Najua nina watu wangu ambao wanapenda kwenda Cinema kila weekend inapofika, kama upo Dar es Salaam ama utakuwa ndani ya DAR leo, nimekusogezea hii ratiba ya movies na Trailers zake zote.…
Lowassa na Urais CHADEMA, Dk. Slaa?, BVR Dar? Lembeli na Esther Bulaya? Jangwani.. Majibu yako hapa (Audio)
Uchambuzi wa magazeti umekupita? Nimefanya jitihada ya kukusogezea zile zote kubwakubwa zilizoweka headlines kwa sauti yake kabisa kutoka Redioni. Iko stori ya Mbunge Edward Lowassa kuchukua fomu ya kugombea Urais kupitia CHADEMA…
Stori zote zenye uzito kwenye #Magazeti ya Tanzania JULY31 2015 ziko hapa, Udaku, Michezo na Hardnews
Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Ijumaa July 31 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya…
COMEDY: kijivideo cha jamaa aliyeombwa password na girlfriend wake akaona isiwe tabu
Ishu ya password au neno la siri ambalo huwa tunalitumia sana kwenye ulinzi wa vitu mbalimbali ikiwemo simu zetu za mkononi huwa inaleta mijadala au purukushani nyingi kwenye uhusiano wa…
Ongeza love yako kwenye hiphop kwa kuitazama hii video mpya ya Nash MC – ‘Hasi 15’
Hii post ni maalum kwa kukutanisha na video mpya ya MC kutoka Tanzania, mwanahiphop anaesimamia itikadi na misingi yake.... ni Nash MC kwenye 'hasi 15' ambayo imesambazwa kwenye YouTUBE kuanzia…
AyoTV ilichonasa kwenye msafara wa Lowassa baada ya kuchukua fomu ya kugombea Urais.
Hii ni wakati Edward Lowassa alipochukua fomu ya kugombea Urais kupitia CHADEMA ambapo wafuasi wa chama hicho walimsindikiza kwa msafara kutokea makao makuu ya CHADEMA Kinondoni mpaka ofisini kwake Mikocheni…
Breaking News: BASATA imemfungia Shilole mwaka mmoja, hakuna kufanya muziki
Breaking news zilizoifikia millardayo.com saa nne usiku wa July 30 2015 kutoka Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) ni kwamba baraza hili limemfungia Shilole kutojihusisha na kazi yoyote ya sanaa kwa…
Aina ya jezi za kisasa watakazotumia Stand United msimu ujao picha zipo hapa
Ligi Kuu soka Tanzania bara kwa miaka kadhaa nyuma kabla ya kuzaliwa kwa klabu ya Azam FC ilikuwa ni ligi ambayo ina ushindani wa kweli kwa timu mbili pekee Simba…