Facebook Vs Instagram nani ana watumiaji wengi zaidi duniani? Majibu yake haya hapa.
Kama wewe ni miongoni mwa wale watu wanaohisi Facebook ni mtandao uliopitwa na wakati, basi utapendaa kusikia taarifa hii. Mwishoni mwa mwezi wa sita kampuni ya FB Tech30 ama Facebook…
Navy Kenzo wakigombana inakuaje? Ni kweli Jose Mtambo kasahau mashairi? Rapper KO kasikika pia…#255 (Audio)
Baada ya Collabo na Vanessa Mdee ya ngoma ya 'No one but me', staa wa Nigeria Rapper KO amesema kabla ya wimbo huo walikuwa wakiwasaliana, aliomba kufanya nae collabo ya…
Kijana asimulia mama yake alivyouawa na majambazi Dar…#HekaHeka (Audio)
Ikiwa ni siku chache baada ya tukio la uvamizi katika kituo cha Stakishari,Dar es salaam kutokea, bado matukio ya kutumia silaha yameendelea kutokea katika maeneo mbalimbali hapa nchini. HekaHeka ya…
Vituko vya Maradona haviishi!! safari hii kamtuhumu mke wake kumwibia fedha
Mkongwe wa soka duniani Diego Maradona amerudi kwenye headlines tena baada ya kumtuhumu mke wake wa zamani Claudia Villafane kuwa amemuibia fedha kwenye akaunti yake. Maradona akizungumza kwenye matangazo ya…
Kampeni za Urais zisizidi bil.5, Mwandosya aibua mazito, Makada wa CCM na LOWASSA JE?..#StoriKubwa JULY30
MTANZANIA Shirika la Umeme Tanzania TANESCO, limesema haliwezi kutaja bei rasmi ya gharama za umeme wa gesi hadi mtambo utakapoanza kufanya kazi ili kubaini halisi. Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Felchesmi…
Ni kweli Tyga anakwepa kulipa kodi ya nyumba?!
Msanii maarufu wa Hip Hop Marekani Tyga ameingia kwenye headlines baada ya taarifa kusambaa kuwa msanii huyo yupo matatani kufukuzwa kwenye nyumba yake iliopo Calabasas kwa kukwepa kulipa kodi ya nyumba…
Tundu Lissu kayaongea yote ya Lowassa.
Mbunge Tundu Lissu ambaye pia ni Mwanasheria wa CHADEMA alikutana na ripota Fredy Mwakikato wa TZA (millardayo.com & AyoTV) na kuzungumzia ishu kadhaa ikiwemo ya Lowassa kujiunga na CHADEMA. Tazama…
Maelezo yaliyotolewa na Polisi Dodoma kuhusu Naibu spika Job Ndugai kumpiga mtu mpaka akazimia.
Stori ilianza kusambaa kuanzia July 28 2015 kwamba Naibu spika wa bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania Job Ndugai amempiga mtu mpaka akazimia na kisha baadae kufariki. Hili tukio…
Lowassa kuchukua fomu ya Urais, Pius Msekwa ashangazwa, Ndugai matatani!! Zisikilize hapa. (Audio)
Magazeti ya tarehe 30 July 2015 yapo mtaani tayari yakiwa na headlines zake kubwakubwa, nimekusogezea stori zote za magazeti zikiwa na baadhi ya hizi kubwa... Edward Lowassa kuchukua fomu ya…
Jibu la Van Gaal kuhusu Di Maria yupo wapi
Wakati klabu ya Paris Saint Germain (PSG) ya Ufaransa ikizidi kusisitiza kuwa uhamisho wa mchezaji wa Manchester United Angel Di Maria kwa asilimia kubwa umekamilika, kocha wa Manchester United Louis…