Stori zote zenye uzito kwenye #Magazeti ya Tanzania JULY30 2015 ziko hapa, Udaku, Michezo na Hardnews
Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Alhamisi July 30 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya…
Picha na maelezo kuhusu hii Treni iliyopata ajali Dodoma July 29 2015
Hii post ni maalum kwa ajili ya kuujua ukweli baada ya ajali ya Treni iliyotokea kwenye tarafa ya Kikombo Dodoma ambapo mabehewa manne ya Treni hii ya abiria kutoka bara…
AyoTV: Full video ya yote aliyosema Freeman Mbowe baada ya Lowassa kuhamia CHADEMA.
July 28 2015 Waziri mkuu wa zamani wa Tanzania Edward Lowassa alitangaza rasmi kuhama CCM na kujiunga na chama cha upinzani (CHADEMA) ikiwa ni baada ya kudai kutotendewa haki kwenye…
Ajali za kuchekesha… zinazotokea alafu unatamani kujua kama ni kweli na ilikuwaje?
Kuna ajali nyingine kwenye hizi picha unaona kabisa hii inawezekana ilitokea lakini kasoro ajali moja tu basi kugonga Pikipiki alafu basi ndio likaumia wakati pikipiki kama haijaguswa. Nilikua natembelea mitandao…
General Motors imerejea kwenye soko la Tanzania na ufanisi umeongezeka.
Wenye magari Tanzania leo wana sababu ya kutabasamu maana Kampuni ya magari ya General Motors East Africa (GMEA) Limited leo wamesaini makubaliano ya kibiashara na Quality automotive mechanization limited (QAML)…
Mtandao wa Twitter umemtambua rasmi John Pombe Magufuli.
Ni waziri ambaye amekua akisifika na kusikika kwenye headlines mbalimbali na rekodi zake za ufanyaji kazi kwa long time lakini kwa kipindi chote hicho hajawahi kuwa na account yoyote kwenye…
Sababu ya Mbwana Samatta kugoma kujiunga na Zamalek ya Misri
Mbwana Samatta ni mshambuliaji wa kimataifa kutokea Tanzania anaeichezea klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo ambayo alijiunga nayo mwaka 2011 akitokea Simba ya Tanzania na mpaka…
Simba watamrudisha Juma Kaseja kweli? majibu ya uhakika yako hapa
Simba kwa hivi karibuni imeonekana kufanya usajili kwa usiri zaidi, huwezi kusikia fununu za kutangaza kumuhitaji fulani hadi uhamisho ukamilike, Simba imerejesha baadhi ya wachezaji wake wakongwe kikosini kama Musa…
Mkusanyiko wa habari 10 kubwa za siku Amplifaya ya CloudsFM July 29, 2015
Amplifaya ni show ambayo inasikika kuanzia Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa moja usiku on Clouds FM ikiwa na mkusanyiko wa stori kumi kubwa za siku kutoka kwenye siasa, michezo, muziki,…
Yanga imethibitisha mkali huyu wa soka anaondoka… nani atachukua nafasi yake?
Ni siku kadhaa zimepita toka taarifa za mshambuliaji wa kimataifa wa Yanga Kpah Sherman zitoke kuwa anatakiwa na klabu moja inayoshiriki Ligi Kuu Afrika Kusini na kwa uhakika millardayo.com ilimtafuta…