Tyga anaisambaza ngoma yake mpya; Master Suite. (Video)
Tyga anarudi kuziandika headlines za wiki hii kwenye kurasa za burudani, baada ya kuachia ngoma na Chris Brown miezi micache iliypita, Tyga amerudi na video mpya.Kichupa kinaitwa Master Suite. Nimekusogezea…
HekaHeka ya mtoto kupotea wakati wa kujiandikisha kupigakura imesikika leo…Audio
Wakati zoezi la uandikishaji wa wapiga kura kwa njia ya BVR likiendelea katika maeneo mbalimbali Dar kumekuwepo na matukio mbalimbali..jana Hekaheka ilizungumzia mama kupigwa na mume wake baada ya kuchelewa…
Birdman kafanya interview kaongelea ukweli kuhusu ugomvi wake na Lil Wayne!!
Kumekuwa na stori nyingi sana kuhusiana na ugomvi wa Lil Wayne na Birdman, tukasikia kuwa Lil Wayne anataka kuondoka Cash Money Records kwasababu Birdman hataki kumlipa hela yake. Tukasikia ugomvi…
#MAGAZETINI JULY29…MWIGULU ahojiwa na TAKUKURU, LOWASSA rasmi UKAWA na mapadri wafa ajalini
MWANANCHI Hatimaye ameingia Chadema. Ilianza kama uvumi lakini jana ilikuwa dhahiri baada ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kutangaza rasmi kukihama chama tawala, CCM na kujiunga na Ukawa kupitia…
Lowassa+UKAWA+Safari ya Matumaini? CCM je?, Wamachinga Jangwani? Zisikilize zote.. (Audio)
Magazeti ya July 29 2015 tayari yako mtaani, yote yakiwa na vichwa vyake vikubwa vya habari. Nimekusogezea zile zote kubwakubwa za leo zilizochambuliwa redioni. Lowassa yeye na CCM basi, safari ya…
Stori zote zenye uzito kwenye #Magazeti ya Tanzania JULY29 2015 ziko hapa, Udaku, Michezo na Hardnews
Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumatano July 29 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti…
Full video ya Lowassa akitangaza kuhamia CHADEMA !
Waziri mkuu wa zamani wa Tanzania Edward Lowassa July 28 2015 Bahari beach Dar es salaam alitangaza maamuzi yake mapya ya kukihama chama cha mapinduzi CCM na kujiunga na CHADEMA…
Habari 10 kubwa za AMPLIFAYA July 28 2015 ! Lowassa, Magari, Kaseja Simba na mengine
Amplifaya ni show ambayo husikika kupitia CloudsFM kuanzia saa moja usiku mpaka saa tatu Jumatatu mpaka Ijumaa kikiwa na mkusanyiko wa habari kumi kubwa za siku ambapo za July 28…
Zlatan Ibrahimovic kwenye mahojiano ya TV kuwatofautisha Messi na Ronaldo!
Licha ya kuwa miongoni mwa wachezaji mahiri duniani Zlatan Ibrahimovic pia amekumbana na aina ya swali ambalo linatafsirika ni sawa na kuulizwa kati ya Messi na Ronaldo nani bora... Zlatan…
Hivi ndivyo UKAWA ilivyompokea Mbunge Edward Lowassa Dar es Salaam… (Pichaz)
July 27 2015 Mbunge James Mbatia ambaye ni mmoja ya Viongozi wa juu wa Jumuiya ya Vyama vinavyounda umoja wa UKAWA aliongea maneno haya baada ya Viongozi wote kukaa Kikao…