Ulikua mbali na Radio? stori zote 10 za AMPLIFAYA July 27, 2015 nimekuwekea hapa
Amplifaya ni show inayosikika on Clouds FM Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa moja usiku mpaka saa tatu ikihusika na utoaji wa habari kumi muhimu za siku, stori kubwa za kwenye…
Mrisho Mpoto kaikumbuka Shule yake ya Msingi Songea, akapitia kuwasalimia.. (Pichaz)
Mastaa hujisikia vizuri wakati mwingine wakitembelea kwenye Shule ambazo walisoma zamani... wanafunzi nao hujisikia furaha kusoma kwenye Shule ambazo mastaa wamesoma, wengine wakiona hivyo wanapata moyo kwamba hata wao wanaweza…
Pichaz za maeneo mengine alikofika Rais Obama kwenye nchi 50 alizotembelea…
Safari ya Rais Obama ndani ya Kenya imeweka rekodi ambayo sikuwa nafahamu, kumbe kwa kipindi ambacho Rais Obama amekaa madarakani ambacho ni kama miaka saba hivi anakuwa ametembelea jumla ya…
CECAFA yatangaza mabadiliko haya na kutoa onyo kali kwa Gor Mahia na Kocha wake
Shirikisho la Soka Afrika Mashariki na kati maarufu kama CECAFA limetangaza mabadiliko ya muda wa kuanza kwa mechi za robo fainali ya michuano hiyo.. CECAFA imetangaza mabadiliko hayo kupitia kwa…
Jamaa aliachiwa mtoto mchanga akaamua kumnywesha maziwa aliyochanganya na pombe..
Dunia ina vituko vyake mtu wangu, na kwa wenzetu wa Marekani wakati mwengine vituko huzua madhara makubwa. Nimekutana na hii moja inayomhusu Dontavian Eagle McCree mwenye miaka 19 aliyeachiwa jukumu…
Kama ulikuwa unasubiri Big Brother Africa 2015 kwenye TV yako, ikufikie hii taarifa kuhusu Shindano hilo
Kumekuwa na uvumi mkubwa juu ya shindano kubwa la TV Africa, Big Brother Africa (BBA) kutokufanyika mwaka huu na inadaiwa sababu ni ukosefu wa wadhamini wa shindano hilo. Waandaaji wa shindano…
Rais Vladimir Putin kawapunguza kazi zaidi ya wafanyakazi laki moja, kuna sababu yoyote?
Rais wa Russia Vladimir Putin ni mmoja ya Marais ambao wana misimamo ya kipekee sana kwenye Uongozi wao. March 2015 aligonga headlines za duniani baada ya kupitisha utaratibu mpya, aliamua…
Pichaz za mastaa na familia zao kwenye maisha ya kawaida mtaani…
Mastaa wengi wa soka mbali ya maisha yao ndani ya uwanja...lakini wengi wao wamekuwa wakipenda maisha ya starehe ikiwa ni pamoja na kumiliki magari ya kifahari pamoja na kuwa na…
Duu!!!! Umeyasikia ya Mourinho kuwatuhumu timu pinzani kununua mataji? Video iko hapa mtu wangu
Kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho anajulikana kwa majigambo, kujisifia lakini pia anapenda kitu kizuri kiwe kwake. Kama utakua unakumbuka vizuri Mourinho ni kocha anayependa mfumo wa kujihami kwa…
Simba yamrejesha mkongwe mwingine kikosini
Klabu ya soka ya Simba imezidi kuimarisha kikosi chake kwa kuwasajili nyota kadhaa msimu huu... Simba ambayo ipo visiwani Zanzibar kwa maandalizi ya msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania bara…