Kumbe Tuzo za Grammy Awards hutolewa hata kwa Marais pia! Marais hawa 3 walishawahi kuzipokea..
Wengi tunazijua tuzo za Grammy Awards ambazo hutolewa kila mwaka Marekani kama Tuzo za pongezi kwa wale wote waliofanya kazi nzuri kwenye industry ya Entertainment kwa mwaka husika. Lakini Tuzo…
Shilole na Nuh Mziwanda kwenye HekaHeka ya leo, wana ugomvi?…(Audio)
Shilole na Nuh Mziwanda wameachiaSingle yao inayojulikana kama 'Ganda la Ndizi' kabla ya kutoa wimbo huo walionekana kama kutofautiana kwenye mtandao wa kijamii wa @Instagram huku kila mmoja akiweka ujumbe…
Mkurugenzi wa Arsenal anataka Wenger avunje rekodi ya usajili? Wana pesa? Cheki walivyojipanga..
Klabu ya Arsenal ya Uingereza miaka kadhaa nyuma ilikuwa ni nadra sana kukuta inasajili mchezaji kwa gharama za juu ila kufuatia falsafa za kocha Arsene Wenger ambae anaaminika kuwa hakutaka…
Kocha wa Nigeria Sunday Oliseh kamrudisha mwingine toka Chelsea ili kujipanga kuivaa Taifa Stars..
Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars inatarajia kucheza mchezo wa pili wa kuwania kufuzu kucheza michuano ya AFCON 2017... Tanzania ambayo ipo nafasi ya mwisho katika kundi G lenye…
Umewahi kukutana na beach zilizopo ndani ya majengo?, hapa ninazo hizi 12 kali kabisa..(Pichaz)
Uliwahi kufikiria kuna beach zinajengwa ndani ya majengo? katika nchi nyingi zilizoendelea hilo ni jambo la kawaida kuwepo kwa fukwe za kupumzika ndani ya majengo makubwa. Nitakutumia stori zote ukibonyeza…
Wachezaji wa FC Barcelona walipokutana na mabingwa wa NBA, Iniesta, Busquet na Pique waliweza Basketball?
Klabu ya FC Barcelona ya Hispania ambayo ipo Marekani kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu Hispania imezidi kujenga uhusiano mzuri na NBA... Barcelona siku chache zilizopita ilimualika…
#MAGAZETI JULY24…Aliyewachoma visu abiria wenzake Dar, Bulaya aliahidiwa Uwaziri, Kenya na ziara ya Obama
MWANANCHI Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Mosha Mahona ameuawa na wananchi baada ya kuwachoma kwa kisu abiria watano waliokuwa kwenye daladala linalofanya safari zake kati ya Posta na Ubungo…
Mauaji yametokea ndani ya nyumba ya Sinema Marekani, kilichofuatia? Stori na video hapa..
Saa chache ziliyopita kumetokea tukio la mauaji Marekani ambako mwanaume mmoja aliamua kupiga risasi ovyo akiwa kwenye nyumba ya Sinema iliyopo Lafayette Louisiana na kusababisha vifo vya watu 2 na majeruhi ya watu…
BVR tatizo Dar, Lowassa abanwa, Rais Obama kuwasili Kenya, auawa baada ya kuwachoma abiria visu. >>> Stori Kubwa (Audio)
Uchambuzi wa magazeti redioni leo umekupita? Nimekusogezea stori zote za magazeti zilizosikika @Clouds.fm zikiwa na baadhi ya stori hizi kubwa... Tatizo la BVR linazidi kuwa kubwa, kasoro za uandikishaji zinazidi…
Stori zote zenye uzito kwenye #Magazeti ya Tanzania JULY24 2015 ziko hapa, Udaku, Michezo na Hardnews
Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Alhamisi July 24 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya…