Majibu ya Dully Sykes kuhusu kutomfollow mtu yoyote kwenye instagram
Msanii wa muziki, Dully Sykes amechukua uamuzi mgumu kama uliofanywa na msanii mwenzake Ali Kiba kwa kuto kumfollow mtu yoyote kwenye akaunti yake ya instagram. Dully ambaye akaunti yake imefikisha…
Sababu za Izzo Bizness kwanini muziki wa Hip Hop haujatusua
Inawezekana ukawa na maswali kwamba kwanini muziki wa Hip Hop bado haujatusua kimataifa sasa Emmanuel Simwinga aka Izzo Bizness amefunguka na kuelezea sababu zinazopelekea kwa kukwama. 'Muziki wa Hip Hop sio…
Robin van Persie aondoka rasmi Man U, apokelewa kifalme timu mpya.
Wakati Bastian Schweinsteiger, Matteo Darmian na Morgan Schneiderlin wakielekea Old Trafford kukamilisha ndoto zao za kujiunga na moja ya vilabu vikibwa duniani, Robin van Persie yeye ameondoka kwenye klabu hiyo.…
Akutwa akimnajisi Bata,ulinzi mkali kwa MAGUFULI na walichosema UKAWA kwa Mgombea CCM…#MAGAZETINI JULY13
NIPASHE Katibu Mkuu, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, alisema Magufuli hawezi kushindana na Ukawa, kwani kwenye jimbo lake la Chato chama hicho kimechukua sehemu kubwa ya…
Taarifa ya huzuni kwa mashabiki wa vichekesho…R.I.P!
Muigizaji Benson Wanjau wa Kenya maarufu kama Mzee Ojwang wa vipindi kama Vitimbi, Vioja Mahakamani, Vituko, Kinyonga na vingine vingi afariki dunia jana Usiku akiwa amelazwa hospitali ya taifa ya Kenyatta National…
Rooney, Sterling, Bale – listi ya wachezaji ghali zaidi wa Kiingereza hii hapa
Ofa iliyokubaliwa ya Manchester City kumsajili kiungo Raheem Sterling kutoka klabu ya Liverpool imeweka rekodi mpya katika listi ya wachezaji ghali zaidi wenye asili ya taifa la Uingereza. Man…
Magufuli kuipeperusha CCM, UKAWA na mgombea wake, BVR yasogezwa mbele Dar
Ni Jumatatu nyingine tena na inawezekana uchambuzi wa magazeti leo Julai 13 umekupita. Nimekusogezea stori zote za magazeti kupitia @Clouds.Fm zikiwa na baadhi ya stori hizi kubwa. Waziri wa Ujenzi…
Hatimaye Man City wamekubali kiasi hiki cha pesa kumsajili Sterling
Baada ya wiki kadhaa za mazungumzo na ofa tatu kukataliwa, hatimaye vilabu vya Liverpool na Manchester City vimekubaliana kimsingi juu ya ada ya uhamisho wa Winga wa kimataifa wa England…
Baada ya Schweinsteiger – Man United yakamilisha usajili wa kiungo huyu
Masaa kadhaa baada ya klabu ya Manchester United kukamilisha usajili wa beki wa kimataifa wa Italia Matteo Darmian na kiungo Bastian Schweinsteiger kutoka Bayern Munich, leo hii klabu hiyo imetangaza…
JULY 13 2015 stori zote kwenye Udaku, Hardnews na Michezo Tanzania ziko kwenye haya Magazeti
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapa millardayo.com kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa…