Hali ilivyokuwa nje ya Ukumbi MPYA wa CCM Dodoma..
Jumapili July 12 2015 Historia nyingine imeandikwa kwenye Siasa Tanzania, kutoka Makao Makuu ya Chama cha Mapinduzi Dodoma Tanzania tumewafahamu wale ambao wameteuliwa Jana na leo imekuwa siku ambayo tumezipokea…
Breaking News: Mgombea mwenza wa CCM huyu hapa…
Leo safari ya Tanzania kumpata Rais atakayewaongoza Watanzania kwa miaka 10 ijayo imeanza rasmi na CCM kupitia kwa Halmashauri kuu ya CCM imemchagua DK. John Magufuli kuwania nafasi hiyo. Baada ya ushindi…
Mabibi na mabwana Wizkid na Drake wanayo furaha kukuletea ‘Ojuelegba’ Remix…(Audio)
Siku chache zilizopita kulikua na taarifa za staa wa Nigeria Wizkid kufanya remix ya ngoma yake ya ‘Ojuelegba’ na staa wa muziki Marekani Drake. Wawili hao wameungana pamoja na kutuletea…
Mkali mwingine aliyesajiliwa na Manchester United huyu hapa…
Klabu ya Manchester United imekamilisha usajili wa beki wa kulia wa Torino, Matteo Darmian baada ya kufuzu vipimo vya afya. Mchezaji huyo ambaye ameichezea klabu yake mechi 146 na kuifungia mabao matano wakati akiwa na…
Ahadi za MEMBE kwa Rais ajaye, wazee wainusuru NEC na mamilioni yaliyonaswa hotelini…#MAGAZETINI JULY12
NIPASHE Mgombea wa kiti cha urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe ‘amefunguka’…
Kwenye watatu waliopitishwa Urais CCM matokeo ya mwisho ni haya hapa… #CCMDodoma
July 12 2015 Tanzania ilikuwa inasubiri kwa hamu kujua Mgombea yupi anasimamishwa na CCM kwenye nafasi ya Urais 2015, ninayo Ripoti nyingine kutoka Dodoma sasahivi!! Kura zimepigwa na Wajumbe wa…
JULY 12 2015 stori zote kwenye Hardnews na Michezo Tanzania ziko kwenye haya Magazeti
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapa millardayo.com kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa…
Maneno ya January Makamba baada ya kujua hakuingia 3 bora ya Urais.
January Makamba ni miongoni mwa waliojitokeza kuomba ridhaa ya chama cha mapinduzi CCM kuteuliwa kukiwakilisha chama kwenye kugombea Urais wa Tanzania 2015 ambapo alitajwa kwenye mchujo wa kwanza wa tano…
Update: Baada ya walioteuliwa tatu bora ya Urais CCM kusimama kwa dakika 15
Tayari mchujo wa pili ulitangazwa saa kadhaa zilizopita hapa Dodoma ambapo walioingia ni John Magufuli, Asharose Migiro na Amina Salum kutoka kwenye tano bora iliyowahusisha pia January Makamba na Bernard…
Baada ya miaka kumi na nne ya kazi, Guiliana Rancic atangaza kuondoka E!News…!!
Kama wewe ni mfuatiliaji wa stori za mastaa wa Hollywood basi utakuwa unakifahamu vizuri kipindi cha E!News kinachorushwa na kituo kikubwa cha burudani Marekani E!Entertainment na bila shaka utakuwa unamfahamu…