Ali Kiba kataja sababu za kwanini hamfollow mtu @Instagram
Ali Kiba ni staa mkubwa kwenye muziki wa Bongo Fleva.. kama wewe ni mtumiaji wa Instagram utakuwa umeona kwamba Ali Kiba haja-follow mtu yoyote ukitembelea mitandao ya kijamii ya Ali Kiba…
Taarifa za huyu jamaa kujichora tattoo ya Linah zikamfikia Soudy Brown.
Soudy Brown kazungumza na Linah Sanga kuhusu mpenzi wake wa sasa ambaye amejichora tattoo, mweyewe amesema mpaka sasa wana muda wa mwezi mmoja tangu wajuane na alichora tattoo hiyo ikiwa…
GoodNews ni hapa ilipofikia video ya #NusuNusu ya Joh Makini kwenye Chati ya MTV Base.. (Video)
Rapper anayewakilisha kundi la Weusi, Joh Makini anazidi kupanda chart baada ya video ya wimbo wake 'Nusu Nusu' aliyomshirikisha G Nako kushika namba moja kwa sasa kwenye 'Official African Chart' ya…
Liverpool imekamilisha usajili kwa kumleta Kikosini huyu mchezaji wa sita..
Dirisha la usajili wa kipindi cha kiangazi limefunguliwa leo rasmi na klabu ya Liverpool imetangaza kukamilisha usajili wa mchezaji mwingine baada ya Firmino kuungana na Kikosi hicho wiki iliyopita. Liverpool…
Ujenzi wa Maisha Club mpya Dar es Salaam umefikia hapa (Pichaz)
millardayo.com ilikusogezea pichaz pamoja story ya kuhamishwa kwa Maisha Club kutoka Masaki kusogezwa Kijitonyama Dar es Salaam. Nimepita Kijitonyama kuangalia ujenzi umefikia wapi mpaka sasa hivi... hapa ninazo picha…
Ajali ya Treni na basi la abiria Morogoro, kuna majeruhi na waliofariki.. #RIP
Stori kubwa kutoka Morogoro leo July 01 2015 inahusu ajali ya basi aina ya Isuzu lililokuwa limepakia abiria ambalo limegongana na treni katikati ya Stesheni ya Kimamba na Kilosa. Ajali imetokea…
Mama alimkataza dada wa kazi kumzika mama yake…hasira ikahamishiwa kwa huyu mtoto!!
Matukio ya baadhi ya wasichana wa kazi kuwatesa watoto wa waajiri wao yamekua yakitokea mara kwa mara na mengi yanahusishwa na waajiriwa hao kuwanyanyasa wasichana hao ambao wengi hulipiza kisasi…
Ally Nipishe kauziwa gari la wizi, Comments za ‘Cheketua’ zimemfikia Ali Kiba na Fid Q kwenye list ya Rappers Afrika..#255 (Audio)
Mmiliki wa tuzo ya KTM 2012/13 ya msanii chipukizi Ally Nipishe amesema sababu ya yeye kukaa kimya ni kutokana na kuuziwa gari la wizi na kumpelekea kupata kesi kubwa ambayo ilimsababisha…
Nimekusogezea wimbo mpya wa Ace Hood: H.O.E (Hell On Earth) hapa. (Audio)
Ace Hood rapper wa Marekani aliye chini ya lebo ya We the Best Music Group ya DJ Khaled anaziandika headlines za leo na ngoma yake mpya iliyotoka leo masaa machache…
Mke wa marehemu kazuiwa asiende kumzika mume wake! kisa kiko hapa…#Hekaheka (Audio)
Hekaheka ya leo inatokea Shinyanga ambapo wanafamilia pamoja na majirani walimzuia mke wa marehemu kwenda kumzika mume wake kwa madai kuwa alikuwa akimnyanyasa enzi za uhai wake. Wakati mume wake…