Shabiki wa Timu ya Simba ikufikie hii, na wewe unashiriki kumpata mchezaji Bora wa Mwezi..
Ikiwa ni katika muendelezo na harakati za kuipeleka klabu ya soka ya Simba katika mfumo wa kisasa na kujenga kikosi chenye wachezaji wenye morali uwanjani, mwezi September klabu ya Simba…
Milango ya Cinema iko wazi leo Dar es salaam, movie zinazoonyeshwa nimekuwekea hapa na Trailer
Najua nina watu wangu ambao wanapenda kwenda Cinema kila weekend inapofika, kama upo Dar es salaam ratiba ya movie na Trailers zake nimekuwekea hapa mtu wangu. Location ni Mlimani City-Cinema…
Haya ndio makosa aliyokutwa nayo Rais wa FIFA, kesi yake ni mahakamani…
Zile stori za viongozi wa shirikisho la mpira wa miguu duniani FIFA kutuhumiwa kula rushwa na kutumia madaraka vibaya, bado zinazidi kuchukua nafasi katika vyombo vingi vya habari duniani, September…
Kesho ndio #KiliFest yenyewe pale Leaders Club, mpaka sasahivi maandalizi yamefikia hapa (+Pichaz)
Jumamosi September 26 2015 Viwanja vya Leaders Club Dar es Salaam kutashuhudiwa Burudani ya nguvu, list ya mastaa watakaoikamilisha Burudani yote tayari imetajwa... kinachosubiriwa kwa sasa ni saa zikamilike alafu…
Sheikh Mkuu amethibitisha Watanzania waliofariki na kujeruhiwa Saudi Arabia… #RIP
September 24 2015 imeripotiwa Taarifa kuhusu watu zaidi ya 700 kufariki kwenye Msikiti Mkuu ambao Waumini wa Dini ya Kiislamu huenda kwa ajili ya Hijjah ambao uko Mecca, Saudi Arabia.…
Siku moja kabla ya mechi ya Simba Vs Yanga, TFF wametoa hii kuhusu mashabiki na siasa (+Audio)
Bado masaa kadhaa yamesalia kuweza kushuhudia ule mchezo wa kihistoria unaozikutanisha timu kongwe Tanzania za Simba dhidi ya Yanga. September 26 ni siku ambayo klabu za Simba na Yanga zitacheza…
Kama unafuatilia mambo ya Teknolojia, kuna hii mpya kutoka TECNO >> TECNO CAMON C8
Ubora wa simu unayotumia ni kitu muhimu pia cha kuzingatia pale ambapo unafanya uamuzi wa aina ya simu ambayo unaitaka. Ukifanya uamuzi wa kuwa na smartphone mpya ya TECNO CAMON…
Nelly anaisogeza kwako hii mpya kutoka kwake; ‘The Fix’ feat. Jeremih! (Video)
Rapper kutoka Marekani Nelly anaziandika headlines kwenye kurasa za burudani, akiwa bado yupo kwenye mchakato wa kukamilisha album yake ya nane, Nelly ameamua asituache tu hivihivi ameamua aisogze kwetu ngoma…
Ni kweli Linah na mpenzi wake wa sasa wameachana? Stori anayo Soudy Brown..#Uheard
Kama ilivyo kawaida ya Soudy Brown amekua akizungumzia tetesi za mastaa mbalimbali..wakati akiwa kwenye sherehe ya 40 ya mtoto wa Diamond, alikutana na mpenzi wa Linah aitwaye Willium Bugeme ambaye…
Nimepita kwenye Barabara za Mabasi ya Mwendokasi Dar, kabla hazijaanza kutumika tayari kuna uharibifu.. (Pichaz)
Ni good news kwamba kuzinduliwa kwa barabara za Mabasi ya Mwendokasi kabla haujaisha mwaka 2015, watu wa Dar ambao wamepata matumaini mapya kwamba ishu ya tabu ya usafiri kuingia katikati…