Kwa mara ya kwanza AliKiba kamtaja mgombea Urais ambaye ni chaguo lake Tanzania 2015.
Ni mwezi mmoja umebaki kufikia siku nyingine kubwa kwa Watanzania kupiga kura kumchagua Rais wanaemtaka, Wabunge pamoja na Madiwani kwenye Uchaguzi mkuu utakaofanyika October 25 2015. Tayari mpaka sasa tumeona…
Magazeti 17 ya Tanzania leo September 23 yameamka na hizi kwenye Udaku, Michezo na hardnews!
September 23 2015 ninazo tayari stori kubwakubwa kwenye kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania >>> Udaku, Hardnews na Michezo. Jumla ya Magazeti 17 ya Tanzania tayari…
GoodNews: Millard Ayo kuanza kutumia watu wake sms zenye habari 5 za siku.
Mtu wako wa nguvu amekuwa Ripota wa matukio mbalimbali kuanzia kwenye Burudani, siasa, michezo, maisha na habari nyingine kwa miaka 10 hivi sasa ambapo watu wengi walianza kupata huduma ya…
Baada ya TWAWEZA kusema CCM inakubalika 66 %, haya ni maneno 15 ya Lowassa na 26 ya Zitto Kabwe
Kuelekea uchaguzi mkuu October 25 2015 matokeo ya utafiti wa taasisi ya TWAWEZA yametolewa September 22 2015 Tanzania na kuonyesha Watanzania mbalimbali wanamkubali nani zaidi ambapo CCM imepata 66%, CHADEMA…
Taasisi ya TWAWEZA imesema CCM inakubalika kwa 66 % ! ya wengine nimeyanasa hapa pia
Wakati tukiisogelea siku ya uchaguzi mkuu wa Urais, Wabunge na Madiwani October 25 2015, yafuatayo ni matokeo ambayo taasisi ya TWAWEZA inasema imeyapata kutokana na utafiti uliofanyika kuhusu mwenendo wa…
Matokeo ya mechi ya Sunderland Vs Man City yapo hapa pamoja na mechi nyingine za Capital One (+Pichaz&Video)
Klabu ya Manchester City usiku wa September 22 ilikaribishwa na klabu ya Sunderland katika uwanja wa Stadium of Light kucheza mchezo wa Kombe la Capital One, mechi imemalizika kwa klabu ya…
Movie sita kali kabisa zilizowakutanisha mastaa na watoto wao kwa pamoja… (+Pichaz)
Kwa mtu ambae anafatilia sana movie majina ya mastaa kama Angelina Jolie, Will Smith au Bruce Willis sio mageni kwao... hao wote ni mastaa wanaofanya poa wakiiwakilisha industry ya Hollywood Marekani. Nimepata…
Kama hili likitokea usitegemee kuiona klabu ya FC Barcelona ikishiriki Laliga maishani…
Rais wa Ligi Kuu Hispania (LALIGA) Javier Tebas na waziri wa michezo wa Hispania Miguel Cardenal wamethibitisha kama Catalonia ikijitenga na kutoka katika umoja wa Hispania klabu ya FC Barcelona ambayo inatokea Catalonia…
Mpenzi wa Dani Alves wa FC Barcelona kwenye headlines za wanamitindo..(+Pichaz)
Beki wa kulia wa klabu ya FC Barcelona ya Hispania na timu ya taifa ya Brazil Daniel Alves ambaye ametwaa medali 20 toka ajiunge na klabu ya FC Barcelona mwaka…
Ninayo kauli ya Sir Alex Ferguson kuhusu Paul Pogba kuondoka Man United 2012
Kocha wa zamani wa klabu ya Manchester United Sir Alex Ferguson ambaye alistaafu kuifundisha Man United baada ya kuitumikia kwa miaka 27. Ferguson alistaafu 2013 kukinoa kikosi hicho na kuendelea…