Ninazo nchi 5 zinazoongoza kwa Uchumi Barani Afrika….
Najua nina watu wangu wanataka kufahamu ni nchi ipi inayoongoza kwa Uchumi barani Afrika, sasa basi leo nimekusogezea nchi 5 zinazoongoza kwa Uchumi barani Afrika; Nafasi ya tano (5) imetajwa…
Headlines za msanii wa bongo fleva anayejihusisha na biashara ya uuzaji wa chakula…
Wataalamu wa mambo wanasema biashara ya Chakula pamoja na biashara ya nyumba ikifanywa vizuri ni biashara ambayo itakupa utajiri, mabibi na mabwana stori ninayotaka kukusogezea ni hii kutoka kwa Mo…
Haya ndio mapokezi ya mgombea urais Edward Lowassa Dodoma Mjini Sept 11
Bado ziara ya mgombea urais kupitia UKAWA Edward Ngoyai Lowassa akiendelea kutembelea mikoa mbalimbali Sept 11 amesimama kwenye viwanja vya Barafu Mkoani Dodoma akiambatana na aliyewahi kuwa waziri mkuu Fredrick…
Pichaz kutoka kwenye mkutano wa Mgombea Urais wa Ccm John Magufuli Musoma Sept 11.
Ziara za wagombea nafasi za Urais kwenye mikoa mbalimbali ya Tanzania bado inazidi kuchukua kasi,upande wa Chama Cha Mapinduzi na mgombea wake John Magufuli leo walikua wakizungumza na wapiga kura…
Majibizano kati ya Soundcity TV na manager wa P Square yanaendelea… hili ndio tamko la Soundcity!!
Beef la Soundcity TV na P Square ikiwemo manager wao Jude Okoye bado linaendelea na pengine litaendelea kwa muda mrefu. Soundcity TV imekerekwa na kauli ya manager wa P Square…
Ninayo tayari collabo ya Mafikizolo, Diamond na mastaa wengine Africa… ‘Tell Everybody’ (Video)
Good news mtu wangu, ile collabo ya kundi la Mafikizolo kutoka South Africa na mtu wetu Diamond Platnumz imetoka! 'Tell Everybody' ndio njia la wimbo, na ni wimbo ambao ni…
Kutana na hizi pichaz na video ya Wanandoa waliovunja rekodi ya kuwa warefu zaidi Duniani..
Siku chache zilizopita Rekodi ya mtu mfupi zaidi Duniani ilibaki wazi, aliyekuwa anashikilia Rekodi hiyo, Chandra Bahadur Dangi raia wa Nepal alifariki akiwa na umri wa miaka 75.. lakini Guinness World Records…
Ndoa ya Sultan King imeisha? Ni ishu ya ujauzito au? Kipi kina ukweli… Hii hapa kwa Soudy Brown.. (#UHeard) +Audio
Sultan King ni moja ya mastaa wa muziki wanaofanya poa toka visiwani Zanzibar, stori zikapenya mpaka kwa Soudy Brown eti jamaa kampa ujauzito mwanamke wa kizungu na Ndoa yake imevunjika…
Baada ya uhamisho kwenda Madrid kukwama, De Gea amethibitisha kufanya uamuzi huu…
Takribani siku 10 tangu uhamisho wake wa kwenda kujiunga na klabu ya Real Madrid kukwama, golikipa wa timu ya taifa ya Spain na klabu ya Manchester United, David De Gea…
Baada ya Soundcity kujibu kwa nini hawapigi Video za P Square, Manager wao nae kawaandikia haya…
Ni siku ya pili toka mgogoro wa P Square na kituo kikubwa cha burudani nchini Nigeria Soundcity TV uwekwe hadharani... Stori ilianzia pale ambapo Television ya Soundcity TV waliamua kusitisha kuzipiga…