Msikilize Mbwiga wa Mbwiguke leo January 27.
Huyu ni Mbwiga wa Mbwiguke kutoka kwenye team ya Sports Extra hapa anasema na wewe mpenzi wa michezo kwa mpira uliokua unachezwa kipindi cha nyuma,naomba nikuunganishe nae kwa hizi dakika…
Ushawahi kupata picha ya Ronadinho Gaucho akiwa nyuma ya mic akiimba?mshuhudie hapa.
Mara nyingi inazoeleka kwa Star yoyote duniani kufanya kitu kilichosababisha awe star,yaani kama muimbaji atajitahidi kukomaa na uimbaji,kama ni mchezaji mpira atajitahidi kukomaa na mpira,japo kwa sasa tunawashuhudia wasanii wengi…
Birdman aonyesha choo chake kilichotengenezwa na dhahabu, kichokadiriwa kuwa na thamani ya $1mil.
Birdman boss wa record label ya YMCMB ambaye mara nyingi huwa anajisifia kwa matumizi yake makubwa ya pesa kwenye vitu luxury, ameendeleza hivyo vitendo vya kufanya matumizi makubwa ya pesa.…
Hii ndiyo namba aliyopewa Juan Mata ndani ya Man United
Juan Mata amekabidhiwa rasmi jezi ya Manchester united yenye namba
Ulimis kusikiliza You heard ya leo?ipo hapa.
Msikilize Soud Brown aki-amplify story kuhusu Producer Dupri ambaye kuna gari ilikosea njia ikaenda kugonga nyumba anayoishi,kuhusu studio na gharama inayotakiwa kutumika,sikiliza pia kupitia 87.8 Clouds Fm Mbeya. Bonyeza play…
Umesikia muendelezo wa ile Hekaheka iliyokua ikimhusu yule ‘Dobi’ isikilize hapa.
Wiki chache nyuma kupitia Hekaheka kulikua na yule mfanyakazi wa Serikali aliyeitelekeza familia yake na kuhamia kwa mtu aliyetajwa kuwa dobi,ipo pia hapa hapa millardayo.com kama uliimis waeza isikiliza,huu ni…
Umekisikia alichokizungumza Moyes Baada ya kumsajili Mata Man. United?hiki hapa.
Baada ya kukamilika kwa usajili wa Juan Mata kocha wa Manchester United David Moyes amesema kwamba huo ni mwanzo mengi mazuri yanakuja na ameweka bayana mpango wa kusajili nyota wengine…
Pichaz za mastar wa Isidingo waliyohudhuria ibada ya Mazishi ya Lettie Matabane.
Hizi ni pichaz zinzowaonyesha Mastar kadhaa wa Isidingo jinsi walivyohudhuria ibada ya Mazishi ya Lesego Motsepe maarufu kama Letty Matabane ambaye ni staa wa tamthilia ya Isidingo inayoonyeshwa kupitia kituo…
“Messi hatojiunga na PSG au klabu yoyote hivi karibuni.” Asema Baba yake
Lionel Messi hatoandoka Barcelona kujiunga na Paris Saint-Germain au klabu nyingine yoyote katika kipindi cha hivi karibuni, baba na wakala wa mwanasoka huyo bora wa dunia kwa mara nne mfululizo amesema. Matajiri wa Paris…
Undani juu ya tukio la kujinyoga kwa mtoto wa miaka 8 Dar es salaam huu hapa.
Jumapili January 19 kulitokea kifo cha kutatanisha cha mtoto aliyekua akisoma shule ya msingi Yombo Vituka darasa la pili ambaye alikua anaingia darasa la tatu mwaka huu Rahma Abeid Karim…