Alivyoagwa aliyekua Mkuu wa Mkoa wa Mara Marehemu John Tupa.
Leo March 27 Wakazi wa Mkoa wa Mara wamejitokeza kutoa heshima zao za mwisho kwa aliyekua Mkuu wa Mkoa wa Mkoa huo John Tupa ambaye alifariki kifo cha ghafla akiwa…
Picha 5 za sehemu ya Kinondoni Dar baada ya mvua ya kuamkia March 27.
Usiku wa kuamkia March 27 ilinyesha mvua kubwa kwa baadhi ya maeneo ya Dar es salaam na kusababisha usumbufu kwa watu ambao wengine walishindwa kuingia kwenye nyumba zao ambapo millardayo.com…
Sikiliza kisa cha Wadada kumgombania jamaa mmoja kupitia Hekaheka ya leo.
Mitaani kuna stori nyingi sana ambazo ukikutana nazo zipo za kufurahisha na kuhudhunisha pia hasa kulingana na tukio lenyewe lina uhalisia gani,hii ya leo ni ya wadada wasiojijua kama wapo…
Kuhusu Shilole kukimbia na deni la wajasiriamali hawa.
Hit Maker wa wimbo mpya wa Chuna Buzi Shilole inasemekana kakimbia na deni la wajasiriamali waliomtengenezea mavazi ya kiafrika baada ya kutengenezewa hakulipa deni na simu zao akawa hapokei,Soud Brown…
Ulimis? hotuba ya Rais JK na ya rasimu ya katiba hazitojadiliwa tena bungeni.
Jumatano ya March 26 2014 kulikua kufanyike mjadala wa wajumbe wa bunge la katiba Dodoma kuijadili hotuba ya Rais JAKAYA KIKWETE aliyoitoa wakati wa kuzindua bunge maalum la katiba pamoja…
Rais Uhuru na naibu wake walipoamua kusimamisha msafara ili kula.
Ni picha ambayo nimetumiwa na Mwandishi wa habari wa Kenya ikimuonyesha Uhuru Kenyatta ambae ni Rais wa nchi hiyo akiwa na naibu wake William Ruto baada ya kuamua kusimama njiani…
Umeona maneno ya Samuel Eto’o kuhusu Alex Song na Barcelona? yako hapa
Mshambuliaji wa klabu ya Chelsea na Cameroon Samuel Eto'o ameeleza kusikitishwa kwake na namna Mcameroon mwenzie Alexander Song anavyokosa nafasi ndani ya kikosi cha FC Barcelona. Song ambae alihamia Barcelona…
Tazama jinsi fundi alivyookolewa dakika za mwisho kwenye jengo lililowaka moto
Ni moto ambao umetokea kwenye gorofa ya tano ya jengo moja huko Houston Texas Marekani ambapo kikosi cha zimamoto kilifanya pia jitihada za kumuokoa fundi ujenzi mmoja aliekua kwenye gorofa…
Rekodi mpya waliyotengeneza Suarez na Sturridge ndani ya Liverpool
Washambuliaji wa klabu ya Liverpool Daniel Sturridge na Luis Suarez wanazidi kung'ara katika ligi kuu ya Uingereza msimu huu. Washambuliaji hao wawili ambao ndio vinara wa magoli katika EPL wametengeneza…
Kama ulimis walichokifanya Messi na Neymar jana usiku – nimekuletea video hii hapa
FC Barcelona jana iliendeleza wimbi lake la ushindi katika ligi kuu ya Spain La Liga baada ya kuitandika Celta Vigo 3-0 katika mchezo uliochezwa Camp Nou. Tazama video ya mabao…