Story 6 Hot Magazeti ya leo October24
MWANANCHI Hali ni mbaya katika hospitali ya Ocean Road Dar es salaam kutokana na uhaba mkubwa wa dawa. Wagonjwa wengi waliolazwa katika hospitali hiyo kwa nyakati tofauti wamesema wameshuhudia wenzao…
Hii ya noti ya shilingi elfu moja Tanzania umeipata? kama bado… nimekuwekea hapa
Kumbukumbu zako ziko sawa kuhusu yale malalamiko ya kukosewa kwa picha ya baba wa taifa hayati Mwalimu Nyerere kwenye noti ya shilingi elfu moja? basi kama hazipo sawa, ichukue hiyo.…
Picha nyingine za Kigoma zilizonivutia usiku na mchana toka nimefika jana.
Mtu wako wa nguvu Millard Ayo nimefika Kigoma jana kwa ajili ya kuja kusherehekea ule msimu wa dhahabu (FIESTA 2014) na watu wangu wa Kigoma kwenye uwanja wa Lake Tanganyika…
Zambia yaadhimisha miaka 50 ya uhuru bila uwepo wa Rais Sata.
Wananchi wa Zambia wanasherehekea maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru siku ya leo, huku rais wa nchi hiyo Michael Chilufya Sata akiwa nje ya nchi anakotibiwa. Hii ni mara ya…
Ni wasanii gani wa bongo walimshtua Davido kwa shangwe kwenye Fiesta Dsm?
Unaambiwa weekend iliyopita kwenye Fiesta ya Dar es salaam mwimbaji Davido wa Nigeria alitumia dakika zake zote kutazama screen zilizokua zimewekwa nyuma ya stage ya Fiesta baada ya kusikia shangwe…
Kolabo ya MwanaFA na Ali Kiba inazidi kuchukua nafasi, ichukue hapa kama ilikupita
MwanaFA ambae hivi karibuni alitajwa na producer maarufu Hermy B kama Mkali miongoni mwa wachache bongoflevani wenye uwezo mkubwa wa kuandika pia mashairi, ameungana na Ali Kiba kuziteka headlines za…
Unafahamu ‘kibarua kipya’ alichopewa Chris Brown na Mahakama? Soma hapa mtu wangu.
Stori mpya ninayokuletea mtu wangu wa nguvu inamhusu mwanamuziki Chris Brown, huenda hujapata nafasi ya kukutana na stori zake hivi karibuni, nakuletea hii ambayo ni latest zaidi kuhusiana na jamaa…
Magazeti ya leo October 24 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Boko Haram yateka wanawake wengine
Taarifa iliyoripotiwa na shirika la utangazaji Uingereza BBC imesema kikundi cha wapiganaji cha Boko Haram kimefanya mashambulizi katika kijiji cha Adamawa kilichopo Kaskazini Magharibi ya Nigeria na kuteka wanawake na…
Huyu ndiye mgonjwa wa kwanza kuumwa Ebola kwenye nchi hii.
Serikali ya Mali imethibitisha kuhusiana na taarifa za mtoto wa miaka 2 kukutwa na maambukizi ya Ebola akiwa ni mtu wa kwanza kupata maambukizi ya ugonjwa huo nchini humo tangu…