Story 7 hot za Magazeti ya Tanzania leo October 22 2014
MWANANCHI Mbio za urais ndani ya CCM zimechukua sura mpya baada ya aliyekua Katibu mkuu wa CCM Yusuph Makamba kutangaza rasmi kumuunga mkono mtoto wake January Makamba kwa sababu anaamini…
#AyoTV Alichofanya T.I Airport Dsm, Ali Kiba anasemaje kuhusu kiti chake kufutwa vumbi? Rock City mall je?
AyoTV itakua ikikuletea stori mbalimbali ambazo zipo kwenye mchanganyiko, yani siasa michezo, burudani na mengine kila wakati ili kukuweka karibu na kila kinachoendelea. Stori za AyoTV leo ziko tatu ambazo…
Umesikia stori ya ngamia aliyeua kwa kukosa soda? Stori iko hapa.
Richard Mileski (60), aliyekuwa mmiliki wa hifadhi ya wanyama pori nchini Mexico ameuawa kikatili na ngamia aliyekuwa akimfuga katika hifadhi hiyo kutokana na kutompatia ngamia huyo ‘dozi’ ya soda aliyomzoesha…
Angalia namna Messi alivyomfikia Ronaldo kwa rekodi ya magoli ulaya
FC Barcelona jana iliichakaza Ajax FC ya Uholanzi kwa kipigo cha magoli 3-1. Lionel Messi alimfikia Cristiano Ronaldo kwa jumla ya magoli kwenye michuano ya ulaya, baada ya kufunga…
Una taarifa kuhusiana na mgonjwa mwingine aliyepona Ebola? Habari iko hapa.
Idadi ya watu wanaoendelea kutajwa kupata tiba ya Ebola, imezidi kuongezeka ambapo siku moja baada ya millardayo.com kuwataja watu hao, leo pia shirika la utangazaji Sky News wameripoti kuhusiana na…
T.I kufika Marekani si akakutana na mwandishi aliemuuliza kuhusu Ebola Tanzania… alichojibu kiko hapa
Alikua mgeni kwenye stage ya Tamasha la Fiesta lililofanyika Leaders club October 18 2014 akiwa na timu yake ya watu wasiopungua watano na kuisimamia hiyo show kwa zaidi ya dakika…
Bayern kama Man U – Angalia walivyoichapa As Roma 7-1
Klabu ya Bayern Munich jana usiku iliwakumbusha mashabiki wa AS Roma kipigo cha mabao 7-1 walichokipata kutoka kwa Manchester United mwaka 2007-08, katika mchezo uliochezwa jana usiku kwenye dimba la…
Angalia magoli 6 ya Chelsea waliyoifunga Maribor jana usiku
Klabu ya Chelsea jana ilitoa kipigo kizito zaidi katika ligi ya mabingwa wa ulaya baada ya kuiadhibu klabu ya Maribor kwa kipigo cha magoli 6 kwa nunge. Magoli ya Chelsea…
Magazeti ya leo October 22 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Umesikia kuhusiana na chanjo ya Ebola? Habari yote iko hapa
Shirika la afya duniani, WHO limearifu kuwa liko mbioni kufanya majaribio ya chanjo dhidi ya ugonjwa wa Ebola, ambao umeripotiwa kuua takribani watu 4,500 huku nchi za Afrika Magharibi zikiripotiwa…