#AyoTV: Dakika 3 za Shetta on TV!! unataka kuliona gari lake? kinachompa mkwanja je?
Hii ni post maalum kwa ajili ya Shetta ambae ni staa wa bongofleva akiweka wazi baadhi ya vitu vilivyompa mafanikio kwenye muziki......... unataka kujua mabadiliko makubwa ya kiuchumi yametokea kwake…
Kutoka Huawei Tanzania…. inawahusu wa vijiji na miji!!
Kwenye hii picha hapa chini ni Mkurugenzi wa HUAWEI Tanzania Vicent Wen kwenye mkutano wa Kimataifa wa Teknolojia ya Mawasiliano Dar es salaam kuhusiana na kampuni yake kuleta maboresho ya…
Magazeti ya leo October 13 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Matokeo na picha za mechi ya Taifa Stars vs Benin October 12 2014
Mechi ya kimataifa ya kirafiki kati ya timu ya Tanzania Taifa Stars vs Benin imechezwa October 12 2014 uwanja wa taifa Dar es salaam ambapo Stars wamechukua ujiko kutokana na…
Ni Ebola tena Marekani… sasa ni aliyemtibu Marehemu.
Mfanyakazi aliyemtibu mgonjwa wa Ebola Thomas Eric Duncan nchini Marekani kabla hajafariki ameripotiwa kukutwa na virusi vya Ebola kutokana na utafiti wa afya aliofanyiwa ambapo kwa sasa amewekwa kwenye kitengo…
Nigeria kuna mambo! hii ni kijana anaekunywa damu kabla ya kazi
Kijana wa miaka kumi na 19 anayeitwa Jamal Nasiru kutoka Nigeria amekamatwa na chombo cha dola kinachohusika na kudhibiti ukabaji (SARS) baada ya kukiri kunywa damu ya ng’ombe kabla ya…
Staa wa bongofleva Steve RNB ameoa!! unazitaka picha zote kuanzia kanisani mpaka ukumbini? ziko hapa
Ni staa wa bongofleva ambae hits zilizompa headlines ni pamoja na 'Tabasamu' aliyoshirikishwa na Mr. Blue October 11 2014 amefunga ndoa kwenye kanisa la Word Alive Sinza Mori Dar es…
Story 8 hot kutoka magazeti ya leo October12
NIPASHE Mwanafunzi wa shule ya msingi Dar mwenye miaka saba ameuawa kikatili baada ya kubakwa,kuchinjwa kisha kunyofolewa sehemu za siri. Mtoto huyo ambaye jina lake limehifadhiwa alifanyiwa kitendo…
Pichaz za kilivyohappen kwenye party Club327 Dsm jana usiku!!
Ilikua ni time ya watu wa nguvu kukutana na kuenjoy weekend ambayo kumbukumbu yake imeandikwa na furaha na bata zote zilizotokea ndani ya party The 255 Clique Club 327 Dsm…
Umeziona za Miss Tanzania 2014? ziko hapa nimekuwekea tayari…
Mrembo kutoka wilaya ya Temeke,Sitti Mtemvu usiku wa kuamkia Oct 12 ametwaa taji la Miss Redd's Tanzania 2014,katika shindano hilo la kumsaka mrembo lililofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam.Sitti…