Sababu za Madee kushikiliwa na Polisi.. chanzo ni hiki cha jamaa wawili wa Pikipiki
Taarifa zimethibitishwa kuhusu staa wa hit single kama 'pombe yangu' 'tema mate tuwachape' na 'ni shidaah' Madee ambae ni msanii kutoka kundi la TipTop Connection kushikiliwa na Polisi. Kabla ya…
Goodnews: Huyu ndio msanii staa wa kimataifa anaekuja Fiesta Dar 2014.
Wakati Tour ya Fiesta ikiwa inazunguka kwenye mikoa mbalimbali Tanzania ambapo weekend hii ni Mbeya na Songea, ametangazwa msanii wa kimataifa ambae ni rasmi atapanda kwenye stage ya Fiesta Dar…
Exclusive: Safari za Treni Tanzania kuongezeka.
Dr. Harryson Mwakyembe ni miongoni mwa Mawaziri ambao wanazungumziwa sana na vijana pamoja na Watanzania wengine kwenye marika mbalimbali kutokana na jinsi anavyochapa mzigo ndio maana sio ajabu hata kumsikia…
Kwenye video 10 za Hiphop TraceTV hizi ndio 3 za juu.
Trace Urban ni kituo cha TV cha kimataifa cha Ufaransa ambacho kimekua na ongezeko la Watazamaji kila siku kwenye bara la Afrika kutokana na nguvu yake ya kuusogeza pia muziki…
Video ya mkali wa bongofleva iliyofanywa nyumbani kwa Rais Paul Kagame Rwanda
Yupo kwenye orodha ya Wasanii ambao wanazo rekodi zao kwenye chati ya muziki wa bongofleva Tanzania na nchi jirani zinazocheza muziki wa kiswahili ambapo baada ya miaka kadhaa ya kuifanya…
Visa vya mapenzi haviishi…. huyu wa Dodoma kamuua mke kwa rungu, chanzo?
Siku hizi mapenzi yamekua kama karata hivyo kila mmoja anacheza ajuavyo au awezavyo kwenye huu uwanja mpana ambao kwa kiasi kikubwa miaka inavyosogea ndio vifo vingi hutokea kutokana tu na…
Stori kubwa magazetini leo Sept 23 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Video nyingine ya Afrika inayochezwa sana kwenye TV
Kila siku vituo mbalimbali vikubwa vya TV Afrika hupokea mamia ya video za Wasanii kutoka nchi mbalimbali za bara hili kwenye kipindi hiki ambacho video zimekua ni ushindani mkubwa mpaka…
Sikiliza mbinu aliyoitumia huyu dada kunasa ‘mchepuko’ wa mumewe #Hekaheka
Kila siku duniani kumekua kukiibuka vitu vingi sana ambavyo baadhi yake huwa ni vile vya kufurahisha lakini wakati huo huo vinakujenga pia kila unaposikia vimetokea,hii imetokea Dar ya mke aliyeamua…
Maneno ya Mez B baada ya kusambaa kwa picha zake ambazo si nzuri.
Kutoka Chamber Squad mmoja wa wanakundi hilo anayo ya moyoni juu ya picha ambazo zimesambaa kwenye mitandao mbalimbali inayomuonyesha akiwa na wasichana ambao sehemu kubwa ya mwili wao iko wazi.…