Kilichoikuta Yanga leo dhidi ya Mtibwa Sugar na matokeo yote ya VPL haya haya
Wiki moja baada ya kuifunga klabu bingwa ya Tanzania Bara Azam FC kwa magoli 3-0 kwenye mchezo wa ngao ya hisani, leo hii watoto wa Jangwani Dar Young Africans wamekutana…
Stori kubwa magazetini leo Sept 20 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Hukusikiliza Magazeti yakisomwa?hizi hapa dakika 11 za uchambuzi wake.
Kuna uwezekano labda wakati yanasomwa na kuchambuliwa Magazeti haya ulikuwa uko busy lakini millardayo.com inakupa nafasi ya kuhakikisha hupitwi na chochote ambacho kinanifikia. Magazeti haya yanasomwa na kuchambuliwa na Gerald…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo September 19 2014
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Dakika 3 za Young Dee na Jux kwenye single mpya ‘Sio Mchoyo’
Mchanganyiko wa muziki wa Rap na kuimba umepata sehemu yake na hii ni kutoka kwa Young Dee akiwa kamshirikisha Jux kwenye hii single mpya iliyopewa jina la Sio Mchoyo. Bonyeza…
Msikiti mwingine uliyotajwa kuungua moto Dar es salaam Sept 18.
Kwa matukio ya kuungua moto kwa msikiti kwa kipindi cha miezi miwili hii imekua ikifululiza sana ambapo August 13 msikiti wa Mtambani ambao uko maeneo ya Kinondoni Manyanya uliungua upande…
Anti Ezekiel na Kassim Mganga wahusishwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi #Gossip Cop
Gazeti la Makorokocho ambalo mhariri wake ni Soudy Brown kutoka XXL ya Clouds Fm leo kwenye ukurasa wa mbele kabisa kuna stori inayomhusu Anti Ezekiel pamoja na Kassim Mganga. Stori…
Ushauri alioutoa Mtanzania huyu kuhusu wasichana wanaoenda Dubai kwa ajili ya kazi #Hekaheka
Ushuhuda wa huyu dada inawezekana ukakufumbua macho na kujua wapi sehemu sahihi ya kuelekea na kujua nini unachotakiwa kukifanya kama umeshaanza kujiandaa safari ya kwenda Dubai. Wimbi kubwa la ukosefu…
List ya viwanja 7 vya ndege vilivyo busy duniani! Afrika je?
Wakati nchi kama Tanzania inapambana kujenga viwanja vya ndege ili ndege kubwa kama za Fastjet ziweze kutua sehemu kama Musoma, Kigoma na Arusha baada ya kuweza kufanya safari zake kwenye…
Kutoka Iringa hili ndilo jiwe linasemekana lilikuwa likizungumza #Gangililonga
Stori ambazo huwa zinakuwepo mtaani zikihusisha maisha ya eneo fulani hutufanya wengi kuvutiwa na simulizi hizo na kutamani kufahamu hata kidogo undani wa hizo habari zinazosemwa. Iringa ni mkoa ambao…