Hii ndiyo safari ya mwisho ya Muongozaji na Muigizaji Adam Kuambiana.
Mei 20 saa 9 alasiri ndiyo safari ya mwisho ya Muongozaji na Muigizaji kutoka kiwanda cha filamu Tanzania Adam Philip Kuambiana ambaye amepumzishwa kwenye makaburi ya Kinondoni,mahali ambapo pia amezikwa…
Picha 18 za kwanza za msiba wa Adam Kuambiana Leaders Kinondoni
Kwa sasa kutoka hapa Leaders ni watu mbalimbali wanatoa heshima zao za mwisho wakiwemo waigizaji mbalimbali ambao marehemu Adam Kuambiana aliwahi kufanya nao kazi na wengine ambao hawakuwahi kufanya nae…
Breaking:Wanachuo wafunga barabara zote kuu Nairobi.
Taarifa kutoka Nairobi kwa sasa nimeambiwa kuwa Wanafunzi wa chuo kikuu cha Nairobi wamewandamana na biashara hazifanyiki na barabara kuu zinazoingia na kutoka Nairobi zimefugwa kwa muda. Kwa sasa polisi…
Pale Mganga feki wa kienyeji alipokutana na Mwanajeshi.
Wiki iliyopita tulimaliza Hekaheka ambayo ilimuhusisha Mama ambaye alifiwa na mtoto wake kisha baadae alienda kwa Mganga akaambiwa kuwa mtoto wake hakuwa amefariki kama alivyojua yeye bali alichukuliwa kishirikina na…
Alichosema kocha mpya wa Man United kuhusu Mourinho kumuonea wivu
Masaa takribani 24 tangu alipotangazwa rasmi kuwa kocha mkuu wa klabu ya Manchester United, Louis van Gaal amefunguka na kusema mwanafunzi wake na msaidizi wake wa zamani kwenye klabu ya…
The Expendables III kwenye big screen August 2014
Umerudi tena ule mkusanyiko wa movie la action lenye vichwa vikali vya kucheza movie za namna hiyo kwa miaka kadhaa ambapo utashuhudiwa tena mwaka huu kwenye big screen. https://www.youtube.com/watch?v=5bPJrbzjLls
Hii sheria ya milegezo vipi ikija Bongo?
Unaambiwa Meya wa Pikevile katika mji wa Tennessee Marekani Phil Cagle amepiga marufuku milegezo yote katika mji wake na endapo ukionekana tu umevaa hivyo unalipa faini hapohapo. Sasa ishu ni…
Sikiliza Magazeti yakisomwa Redioni leo Mei 20.
Taratibu za millardayo.com ni pamoja kukuwekea Magazeti kisha kupata nafasi ya kusikiliza yakichambuliwa na kusomwa pia,hizi ni dakika 23 za kusikiliza haya makubwa yaliyoandikwa. 87.9 Clouds Fm inasikika ukiwa Moshi.…
Kurasa za mwanzo na mwisho Magazetini leo May 20 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kukupatia stori kubwa za Magazeti ya Tanzania kila siku kabla ya saa mbili kamili asubuhi kutoka kwenye kurasa za kila gazeti kuanzia ya Udaku, Michezo na hardnews kurasa…
Christian Bella ameungana na Ommy Dimpoz kwenye hii.
Christian Bella alipotangaza kufanya kolabo na mkali wa bongofleva Ommy Dimpoz kila mmoja alikua na hamu ya kuona kitatokea nini hawa jamaa wakionganisha uwezo wao na sauti zao kwenye wimbo…