Magazeti ya leo May 17 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kukupatia stori kubwa za Magazeti ya Tanzania kila siku kabla ya saa mbili kamili asubuhi kutoka kwenye kurasa za kila gazeti kuanzia ya Udaku, Michezo na hardnews kurasa…
Picha za nyumbani kwa kina Amina Ngaluma ‘Japanese’ usiku wa Mei 16 2014.
Muziki wa dansi Tanzania Mei 15 2014 ulipata msiba ambao umekua ni pigo kwao na Tanzania kwa ujumla, ni msiba wa Amina Ngaluma 'Japanese' ambae amefanya kazi kwenye bendi tofautitofauti…
Breaking:Milipuko mingine yalipuka Kenya.
Taarifa kutoka Kenya ambazo zimetoka muda huu ni kwamba milipuko miwili imetokea karibu na Soko kubwa la nguo la Gikomba mjini Nairobi. Watu kadhaa wameripotiwa kujeruhiwa na kuna hofu ya…
Maneno ya Madee kuhusu uhusiano wake na Jini Kabula,sikiliza kupitia You heard ya Mei 16.
Rais wa Manzese Madee kwa sasa inasemekena ana uhusiano wa kimapenzi na mmoja kati ya wakina dada wanaotokea kiwanda cha filamu Tanzania Bongo Movie Jini Kabula,Soudy Brown kaongea na Madee…
Unaikumbuka movie ya Godzilla?..leo inatoka nyingine cheki trailer na ratiba nzima hapa.
Godzilla ndiyo movie mpya itayoanza kuonyeshwa leo dunia nzima kwenye theater mbalimbali, kama vipi ungana na dunia nzima na wewe ukaangalie movie hii. Cheki trailer yake hapa na ratiba ya…
Mwanamke aliehukumiwa kifo kwa kubadili dini na kuolewa na mume Mkristo
Mahakama nchini Sudan imemuhukumu kifo mwanamke mmoja anayedaiwa kubadili dini yake na kuolewa na mwanaume mkristo. Daktari Mariam Yahya Ibrahim Ishag ambae baba yake ni muisilamu alishitakiwa kwa kosa la…
Ajali aliyopata Walter Chilambo wa BSS jana saa tano usiku
Ajali imetokea saa sita kasoro usiku May 15 2014 Kimara Dar es salaam ambapo mwimbaji Walter ambae ni mshindi wa BSS 2013 akiwa barabarani anaendesha alipata mshtuko mkubwa baada ya…
Kipya Kutoka Cloud 9 ya Clouds Tv mpaka Club Bilicanas Jumapili ya Mei 18.
Sehemu nyingine ya kuparty weekend hii ni Club Bilicanas ambapo Cloud 9 ya Clouds Tv wameandaa hii party kwa ajili yako ambayo itasindikizwa na wasanii kibao akiwemo G Nako,Godzilla,Young Killer,Young…
Mbali na kufeli kwa msimu uliopita,hii ndiyo faida waliyopata Manchester United.
Kwa mfatiliaji yoyote wa mpira wa miguu ligi ya England Manchester United ni timu ambayo haikufanya vizuri makombe yote ya msimu uliopita kitu ambacho kimekua tofauti kwa timu hiyo. Kwenye…
Yule mfanyakazi aliyetoa video ya Jay Z akipigwa na Solange amefukuzwa kazi.
Inasemekana yule mfanyakazi ambaye aliitoa ile video inayomuonyesha rapa Jay Z akishambuliwa na shemeji yake Solange Knowles ndani ya lifti ya hotel hiyo amefukuzwa kazi. Katika video hiyo siku hiyo…