Maneno ya Meneja wa Uwanja wa Taifa,baada ya kukutwa mayai 3 uwanjani.
Mechi ya watani wa jadi Simba na Yanga ambayo ilichezwa April 19 imeingia kwenye headline baada ya kuhusishwa na imani za kishirikina na hii ni baada ya kufukuliwa kwa mayai…
Hiki ndicho kiwanja kipya kilichofunguliwa Pasaka kwa ajili ya wakazi wa Mwanza.
Mwanza ni Miongoni mwa mikoa ambayo ukifika hata kama ukiwa mgeni huwezi kosa cha kufanya au ku-enjoy mbali na mji huu kuwa na vionjo vyake pia umejengwa kinamna yake ambayo…
video nyingine ya Mtanzania iliyoanza kuchezwa Channel O.
Harakati za kuuvusha muziki wa Tanzania nje ya mipaka ya Tanzania ni pamoja na kupata airtime kwenye vituo vya kimataifa ambapo Channel O ni kituo mojawapo kati ya vituo vinavyoaminika…
20 za Dar es salaam kwenye fainali za kumtafuta staa mrembo zaidi ‘Ijumaa sexiest girl’
Mwigizaji Wema Sepetu ameshinda shindano la Ijumaa sexiest girl ambalo liliandaliwa na Global Publishers na kushirikisha watu maarufu kama Lulu, Jokate, Nelly Kamwelu na Jackline Wolper. Wema ambae pia ndio…
Matokeo ya mechi za Arsenal vs Hull na Man United vs Everton haya hapa
Manchester United leo imepoteza mchezo wa 11 wa ligi kuu ya Uingereza msimu huu. Timu hiyo inayofundishwa na David Moyes imefungwa kwa mara ya pili na Everton dani ya msimu…
Matokeo ya mchezo wa Liverpool dhidi ya Norwich haya hapa
Liverpool imeendelea kujiweka kwenye mazingira mazuri ya kutwaa uchampion wa ligi kuu ya England baada ya kupata matokeo mazuri dhidi ya Norwich katika mchezo uliomalizika hivi punde. Liverpool wakiwa ugenini…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo April 20 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Hii ya Waumini kusafisha barabara ya Lami kwa sabuni kama hivi umeipata?
Ripota wa TZA nchini Kenya Julius Kipkoitch anaripoti kwamba wakazi wa jiji la Eldoret wamemfanya kila alieiona hii kuvutiwa na pengine kujua imekuaje wakafanya hivi kwa mara ya kwanza baada…
Full Time ya Chelsea vs Sunderland April 19, wafungaji na video ya magoli yenyewe
Mpaka game inaisha Chelsea ilikua imepigwa mbili zilizofungwa na Wickham kwenye dakika ya 18 huku Borini akifunga kwa penati kwenye dakika ya 82 wakati goli moja na pekee ya Chelsea…