Umeiona video mpya ya Prezzo? Vera yuko ndani… @AMB_Prezzo
Video inaitwa 'my gal' ambapo mrembo alieuza ndani yake anaitwa Vera Sidika alieuchukua umaarufu kutokana na picha kwenye mitandao za jinsi alivyoumbika.
Kuhusu taarifa za msanii Shetta kupata ajali ya gari.
Kabla ya hii ajali Shetta alinipigia simu saa kadhaa kabla na kuniambia hii show aliyoitiwa kuna mtu alishakula hela akijifanya ni Shetta hivyo Promota amekuja kushtuka mwishoni na kumpata Shetta…
Ulimiss kusikiliza You heard ya Leo April 11 na jana April 10 zipo hapa zote.
Kutokana na sababu za kiufundi tulishindwa kuweka jana mtu wangu wa nguvu lakini hapa nakuwekea zote ni ya jana na leo April 11 zinawahusu Tid na Nyandu Tozi ambao wanasemekana…
Huyu ndio mchezaji wa Chelsea aliyesema anategemea kuondoka Chelsea kabla ya msimu mpya
Mshambuliaji wa Chelsea Demba Ba amefunguka na kusema maneno ambayo yanaweza kuwa mwiba kwa baadha ya wapenzi wa Chelsea. Ba amesema kwamba kuna asilimia kubwa anaweza kuondoka Chelsea mwishoni mwa…
Baada ya stori za Dudubaya kumkata sikio, Mama mwenyewe amejitokeza kuthibitisha
Siku mbili zilizopita stori mbalimbali kwenye mitandao zilihusu msanii wa longtime kwenye bongofleva aitwae Dudubaya kudaiwa kumkata sikia Mama yake mkubwa kwa kinachosemekana kuwa tuhuma za kichawi lakini siku moja…
Picha 4 za ndege iliyopata hitilafu uwanja wa ndege Dar leo na kunyima nyingine kupaa na kutua
Kwa mujibu wa ripota wa nguvu kwenye maelezo ambayo hayajathibitishwa na mamlaka husika, ndege hii ya shirika la ndege la Kenya ilitoka nje ya njia kidogo kwa tairi zake za…
Namna Nmb ilivyosaidia kituo cha walimu Temeke.
Benki ya Nmb imesaidia kituo cha walimu Temeke Meneja wa kanda ya Dar es salaam ambayo imekabidhi kompyuta mbili na mashine ya kuchapia karatasi(printer) kwenye kituo cha cha walimu wilaya…
Baada ya mashambulizi ya kigaidi kuzidi Kenya, haya ni maamuzi mapya ya Serikali
Serikali ya Kenya imetangaza kununua magari yasio penya mabomu wala risasi ili yasaidie kupambana na magaidi na wezi wa mifugo nchini humo ambapo katika bajeti ya mwaka huu itanunua helikopta…
Hii kali, imetokea kweli wakati huyu mama akihojiwa na TV, mwizi akapita nae
Mitaa mbalimbali nchini Brazil imekua ikitajwa kwa uhalifu kutendeka mara kwa mara hata wakati wa mchana lakini pia vilevile wizi huo umekua ukifanyika hata kwenye maeneo ambayo mgeni yeyote anaweza…
Kwa mnaopenda za Jay Z na Beyonce, hizi ni picha zao 6 za sherehe za miaka 6 ya ndoa
Unaambiwa mastaa hawa walisherehekea miaka yao sita ya ndoa huko Dominican Republic wakiwa na mtoto wao Blue Ivy, kwenye nchi hii ambayo lugha inayotumika ni Kihispania na wanasifika kwa utalii…