Pichaz za uzinduzi wa studio mpya na wimbo mpya wa Skylight Band – Kariakoo
Skylight Band ni Bendi ya Muziki wa Kisasa inayomilikiwa na Kampuni ya Skylight Entertainment Limited ambayo ilianzishwa Mwaka mmoja uliopita,aina ya muziki wa wanaofanya Skylight ni Afropop ambayo ina mkusanyiko…
Hapa nakukutanisha na Remix ya Wale wale ya Kala Jeremiah.
Wale wale ni wimbo ulitoka November 20 2013 ambayo ndani yake akiwa kashirikishwa super nyota wa 2012 kutoka Mbeya Ney Lee leo April 09 2014 Kala Jeremiah kaamua kuachia remix…
Umesikia kuhusu jamaa aliyeamua kumuoa Mama yake?sikiliza Hekaheka ya leo hapa.
Inawezekana ikawa imezoeleka ile mila ya kurithishana wake lakini hii hutokea kwa kaka au mdogo wa Marehemu ingawa kwa sasa mila hiyo haipo baada ya kupingwa na serikali pia sasa…
Alichokifanya Zlatan Ibrahimovic wakati Mourinho akihojiwa
Muda mfupi baada ya mechi ya jana Chelsea vs PSG ambapo Chelsea walishinda 2-0 na kwenda hatua ya nusu fainali ya Champions League, kocha Jose Mourinho alikuwa akihojiwa na vyombo…
Kama mechi ya Dortmund vs Real Madrid ilikupita jana, magoli yako hapa
Pamoja na kufungwa 2-0 katika mchezo wa pili wa hatua ya robo fainali ya michuano ya mabingwa wa ulaya, Real Madrid jana walifanikiwa kuingia nusu fainali mbele ya Dortmund ya…
Kama ulimis mechi ya Chelsea vs PSG – angalia magoli yote hapa
Chelsea jana usiku ilifanikiwa kupindua matokeo ya 3-1 ya wiki iliyopita kwa ushindi wa 2-0 dhidi ya PSG katika dimba la Stamford Bridge. Ushindi huo uliiwezesha Chelsea kufuzu kucheza nusu…
Tweets: Fid Q kuhusu kujipigia kampeni za tuzo, Waziri Nyalandu, @ommyDimpoz na @King_zillah
Ni stori za twitter kutoka kwa Fid Q ambae ni staa wa hiphop Tanzania pamoja na Waziri wa mali asili na utalii kwenye Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Lazaro Nyalandu.
Sikiliza Magazeti yakisomwa Redioni leo April 09.
Baada ya kupitia kurasa mbalimbali za Magazeti hii ni nafasi nyingine ya kusikiliza kilichoandikwa kwenye kurasa hizo za Magazeti mbalimbali ya Tanzania hapa yanasomwa na PJ kutoka kwenye kipindi cha…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo April 09 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Sikiliza kipande cha wimbo alioutoa mama yake Nicki Minaj.
Carol Maraj mama wa msanii Nicki Minaj ametoa wimbo siku chache baada ya mwanae kutoa wimbo mpya 'Chi-Raq'. Mama Minaj ambaye amekuwa anaumwa kansa ametoa wimbo wa gospel akiimba kwa…